Best Nasso: Msanii mwenye kipaji cha hali ya juu asiekuwa na bahati

Best Nasso: Msanii mwenye kipaji cha hali ya juu asiekuwa na bahati

Mkuu nilikuwa sijui hili, lakini huyu bwana hana show za kumtambulisha kwa wapenzi wake kama wasanii wengine maarufu
huyu show akifanya kwenye mabasi labda na kwenye maboda boda yani kinacho nikera kila basi utakalopanda lazima kwenye playlist lazima best naso awe na nyimbo mbili. na ukitaka kumsikiliza labda uwe msikilizaji wa DJ Arongo humpa air time sana.
 
Kwani ni celebrity? Ebu peleka hii kwenye jukwaa la matangazo, akishakuwa maarufu utamleta humu
teh teh Mkuu ina maana BEST NASO anazidiwa umaarufu na Babu yake BADILI TABIA?
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa nyimbo zake zinapendwa na madereva wa bodaboda....ukute dere kaiweka mweh utahisi upo ukumbini

Teh teh huwa naamini madereva bodaboda wengi wao wana matatizo ya vichwa kabisa yani mtu anapiga mziki hadi unajiuliza mara mbili kama ni mzima.....
 
acha hizoo, shetta yupo vizuri ukitaja wasanii 5 kutoka bongo wanaofanya poa international shetta hakosi, kwa show ndani sahivi anapata zake mpunga dola 5000 ambayo ni zaidi ya mil 10 tshs unaona anacheza hapo??? na ubalozi wa star times juu??? aaaaaaaaaaaaarggg

eti nini..? Ntakua wa mwisho kuamini hicho kitu
 
Wasubiri miujiza ya Allah! Shetta nae sijui anafanya kitu gani kwenye industry ya mziki nae ajiunge na kina best naso hana anacho kifanya

bora Sheta kuna Yule mtoto anayepwerepwetwa na kikongwe chake yani nyimbo zao wote wawili kapa
 
Huyu jamaa anajua mziki tatizo nadhani management mbovu
 
eti nini..? Ntakua wa mwisho kuamini hicho kitu

Yaap ipo hivo,

kabla hajatoa shikorobo, kwa show alikuwa anapokea mil 4/5 humooo...

baada ya shikorobo akapandisha ikawa hivyoo, ambapo kitz ni 10 mil(ila alipotangaza bei ilikuwa ni mil 9 kutokana na kupanda kwa dola), na unaweza kuona tokea ametoa shikorobo mwezi wa tatu mwanzoni, na bei mpya show zilikuwa hazipatiksni sababu ya bei mpya kwa show, mpaka mwezi wa 25 april ndio akaanza na iringa zaidi ya mwezi na nusu alikuwa kachill bila kazi... baada ya hapo milango ikaendelea kama kawa mei mosi zari all white party, tar 2 mei mwanza instagram party hivoo yanii.....
 
Salaam wana JF, kuna msanii mwenye kipaji cha hali ya juu lakini hana bahati, hapa namaanisha kuwa nyimbo zake hazichezwi sana redioni wala kwenye TV. Lakini ukiangalia nyimbo zake Zina ujumbe mzuri na muziki mzuri kwa ujumla. Sijui kwanini huwezi msikia kwenye tuzo wala show mbalimbali, sasa labda sijui shida iko wapi, hana management au nini. Waungwana naomba tusaidie kumshauri..

Abadilike sio kila nyimbo aimbe shida zake alizopata kijijini wakati alipokua analima na alipokua anaishi kwenye mazizi ya ng'ombe.tena analia kabisa utadhani tabu zake zinatuhusu. Abadilike kwani hata kiba na domo wana shida zao lakini hawatuimbii na kutulilia.wanaangalia soko
 
Back
Top Bottom