Best Nasso na mashabiki wake wa vijijini

Best Nasso na mashabiki wake wa vijijini

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mnamkumbuka Best Nasso?

Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.

Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.

Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.
 
Ni kweli

House boys wa nyumbani kwetu wooote hawakosi nyimbo zake

Ilifika kipindi nikaanza kuikariri ile anakwambia 'bora nirudi kwetu kijijini nikaendelee kukata mkaa sijui nini,afu anakwambia maisha haya mimi siwezi, bora nirudie zangu enzi'
 
Ni kweli
House boys wa nyumbani kwetu wooote hawakosi nyimbo zake
Ilifika kipindi nikaanza kuikariri ile anakwambia 'bora nirudi kwetu kijijini nikaendelee kukata mkaa sjui nini,afu anakwambia maisha haya mimi siwezi,bora nirudie zangu enzi'
Ulikua unawafanya nini hao vijana mpaka wapige hiyo ngoma mara kwa mara.??
Hiyo ngoma best naso jimama lilikua linamtesa sana 😁😁
 
Ni kweli

House boys wa nyumbani kwetu wooote hawakosi nyimbo zake

Ilifika kipindi nikaanza kuikariri ile anakwambia 'bora nirudi kwetu kijijini nikaendelee kukata mkaa sijui nini,afu anakwambia maisha haya mimi siwezi, bora nirudie zangu enzi'
Ulikuwa unatesa house boy wako?
 
Ni kweli

House boys wa nyumbani kwetu wooote hawakosi nyimbo zake

Ilifika kipindi nikaanza kuikariri ile anakwambia 'bora nirudi kwetu kijijini nikaendelee kukata mkaa sijui nini,afu anakwambia maisha haya mimi siwezi, bora nirudie zangu enzi'
Ahahha

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mnamkumbuka Best Nasso?

Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.

Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.

Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

Huyu jamaa yupo sasa hivi?

Nyimbo zake mpaka leo bado nasikiliza jamaa alikuwa storyteller mzuri sana na maudhui ya kufundisha sana.

Sema ndo hivyo kwa sasa waimba pumba na matusi ndo wanapewa airtime na promo za kutosha.
 
Huyu jamaa yupo sasa hivi?

Nyimbo zake mpaka leo bado nasikiliza jamaa alikuwa storyteller mzuri sana na maudhui ya kufundisha sana.

Sema ndo hivyo kwa sasa waimba pumba na matusi ndo wanapewa airtime na promo za kutosha.
Hakika

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom