mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
L382 hio chombo nimeitumia Sana Ni nzuri na inabebeka kirahisiEpson ni Printer nzuri sana na zina Quality kubwa safi.
Tatizo ni bei zake na Budget yako huwezi pata Printer za Epson,
Naona Wadau wanashauri upate Epson L3110 lakn sasa hivi hiyo imesimama kwa 480,000 hadi 460,000.
Ipo L382 ambayo ni 430,000 hadi 420,000.
Kwa Budget yako labda uchukue Printer za Kampuni ya CANON ambazo Unaweza kupata hadi za 250,000 hadi hiyo 300,000
HAKUNA EPSON MPYA YA LAKI 3.kwa hiyo kuna epson ya laki 3
Epson Chukua kati ya hizi.Shukran sana mkuu kwa maelezo mazuri kama haya...
Naomba kuuliza, Kwa hizo printer za Epson kwa gharama hizo tajwa unapendekeza nichukue toleo lipi? Kama unafahamu
L805 na L3110Normal papers na Normal glossy papers
CANON zipo ambazo zinaMkuu hv naweza kupata Canon printer yenye properties kama za aina hizi za printer? Maana nmeona kuwa CANON bei zake ziko chini kidogo.
Usinunue printer yoyote tofauti na EpsonMkuu hv naweza kupata Canon printer yenye properties kama za aina hizi za printer? Maana nmeona kuwa CANON bei zake ziko chini kidogo.
Sawa sawa... Nmekuelewa mkuu, kwa maelezo haya EPSON bado hana mpinzaniCANON zipo ambazo zina
Scan
Copy
Colored piah.
Quality ya printing ya Canon na Epson huwezi linganisha.
Alafu pia uwezo wa Kuprint Grossy Canon sio ya uhakika sana.
Japo na yenyewe inapiga tu kazi fresh.
Ahsantee kwa ushauri huu mkuu..Usinunue printer yoyote tofauti na Epson
Utanunua printer kwa bei rahisi ikakugharimu kwenye wino, na utengenezaji natumia epson l310 na 382 ziko vizuri quality na wini ni cheap, kuna wino wa 2500 na wino wa 5000 kwa chupa ya rangi moja
Bei za hizi printer zinaanzia 450,000 na kuendelea inategemea unanunua wapi, kutengeneza kwake ni rahisi
Epson 3110 niliipata kwa 600k mwezi november mwaka janaZimepanda sana bei hizi ila anaweza kupata kwa kulenga.
Mkuu safi sana, Ubarikiewe japo unifafanulii mimi ila nafuatilia kwa bashasha mno.L805 na L3110
Zote zina print hadi Grossy ila L805 inauwezo wa kuprint hadi grossy za gram 280.
Ila L3110 inavuta grossy zenye gram kubwa kwa shida na inaweza pelekea hadi machine kuua header.
Mi nahitaji ya ku print vitambulisho na picha za kawaidaCANON zipo ambazo zina
Scan
Copy
Colored piah.
Quality ya printing ya Canon na Epson huwezi linganisha.
Alafu pia uwezo wa Kuprint Grossy Canon sio ya uhakika sana.
Japo na yenyewe inapiga tu kazi fresh.