Best roads in Africa

Best roads in Africa

I hope umejibu kulinganisha na kile mleta maada alichodai hapa (best roads in Africa) na nilichomjibu kwa kuweka statistics (ambazo zinahusisha financier wa roads infrastructure hapa nchini). Sijahusisha paved kilometres as a row data (kama ulivyofanya wewe). Nitakupa mfano: Mauritius wana chini ya 2000km zenye lami lakini ni 98% paved, Morocco wana 70.4%, Botswana 37% etc. Sasa tukianza kujisifia kuwa tuna best roads network in Africa, tunajilinganisha na Africa ipi?


Nimekujibu kulingana na data ulizozileta mwenyewe kwamba only 6 578km or 7% of the total road network is paved.
Ndio nikakupa mifano ya baadhi ya barabara ambazo ziko PAVED yaani zenye lami.
Sasa nijibu...wewe unaamini kuwa network ya barabara Tanzania zenye lami (paved) ni hizo 6,578 km au 8,000 km? Hii si unaweza fanya homework mwenyewe na kujua makadilio ya km zenye lami TZ? Serious useme only 8K km ni paved in TZ? Duu...basi kazi ipo...kama hatujikubali wenyewe...ni tatizo kwa jamii yetu.

Kuhusu ubora, ukilinganisha EA...naamini Network ya barabara nyingi Tanzania ni bora kuliko hao majirani zetu (Not Africa yote maana sijatembelea nchi zote za Africa) lakini kwa EA hasa KE, UG hawawezi fikia ubora wa barabara za Tanzania...hili hata wewe mwenyewe you'll note the difference ukidrive kwenye hizo nchi. Na kizuri TZ barabara zimesambaa kote kote yaani sio tu Dar...
Nadhani hii pia inachangiwa na upya wa barabara nyingi Tanzania na controlled weight ya magari makubwa ndo inafanya barabara hizi ziwe bora..... mkuu unaweza safiri na Vitz from North of TZ to South, East to West bila shida yeyote na hata kuona shimo barabarani....je tusiite barabara bora?
 
I hope umejibu kulinganisha na kile mleta maada alichodai hapa (best roads in Africa) na nilichomjibu kwa kuweka statistics (ambazo zinahusisha financier wa roads infrastructure hapa nchini). Sijahusisha paved kilometres as a row data (kama ulivyofanya wewe). Nitakupa mfano: Mauritius wana chini ya 2000km zenye lami lakini ni 98% paved, Morocco wana 70.4%, Botswana 37% etc. Sasa tukianza kujisifia kuwa tuna best roads network in Africa, tunajilinganisha na Africa ipi?
msoto wa huu utawala usikufanye ufikiri vibaya mkuu,utadhalilika.

nitajie maeneo matatu tz ambayo hayapitiki kwa ukosefu wa barabara ya lami,kwa kulinganisha na miaka ya 2000 kwa kurejea na takwimu ya km zote za barabara mainland.

yaani useme hivi kwa mfano,morogoro tz kuna road network let say 12000km zisizopitika kwa kukosa lami ni 11700,wilaya fulani.
 
msoto wa huu utawala usikufanye ufikiri vibaya mkuu,utadhalilika.

nitajie maeneo matatu tz ambayo hayapitiki kwa ukosefu wa barabara ya lami,kwa kulinganisha na miaka ya 2000 kwa kurejea na takwimu ya km zote za barabara mainland.

yaani useme hivi kwa mfano,morogoro tz kuna road network let say 12000km zisizopitika kwa kukosa lami ni 11700,wilaya fulani.

Mimi sina msoto wowote, na ndio maana michango yangu ni impartial tofauti na wewe ambae unajua ni lazima ujikombe ili uishi. Ndio maana unaimba mapambio ya kusifu hata kama ni muda wa maombi.
Sijawahi kuitegemea serikali ya nchi hii kuishi tangu 2005 June 26.

Ulivyo a boob umeshindwa kulinganisha maelezo yangu na theme ya maada husika. And am not surprised really; that's the best your feeble brain can achieve.
 
Aisee!!! Hii ipo wapi??
edxryuqxkaen2qf-jpeg.1194949
 
Kwa mwenye amesena wako TARURA and TANROADS what not , this is barabara plaza, it sits Kenya urban roads authority, kenya national highways authority, kenya rural roads authority na kenya roads board, you can clearly understand which is which from the names
images.jpeg
 
Kwa mwenye amesena wako TARURA and TANROADS what not , this is barabara plaza, it sits Kenya urban roads authority, kenya national highways authority, kenya rural roads authority na kenya roads board, you can clearly understand which is which from the namesView attachment 1195740
Do you know the difference between Agency and Authority?
TARURA and TANROADS are Agencies wewe umeleta Authorities nikikuita kuwa huna akili nitakuwa nimekosea?
 
Since sina hakili, you can maybe explain to me what Tarura and Tanroads do
Do you know the difference between Agency and Authority?
TARURA and TANROADS are Agencies wewe umeleta Authorities nikikuita kuwa huna akili nitakuwa nimekosea?
 
Nimekujibu kulingana na data ulizozileta mwenyewe kwamba only 6 578km or 7% of the total road network is paved.
Ndio nikakupa mifano ya baadhi ya barabara ambazo ziko PAVED yaani zenye lami.
Sasa nijibu...wewe unaamini kuwa network ya barabara Tanzania zenye lami (paved) ni hizo 6,578 km au 8,000 km? Hii si unaweza fanya homework mwenyewe na kujua makadilio ya km zenye lami TZ? Serious useme only 8K km ni paved in TZ? Duu...basi kazi ipo...kama hatujikubali wenyewe...ni tatizo kwa jamii yetu.

Kuhusu ubora, ukilinganisha EA...naamini Network ya barabara nyingi Tanzania ni bora kuliko hao majirani zetu (Not Africa yote maana sijatembelea nchi zote za Africa) lakini kwa EA hasa KE, UG hawawezi fikia ubora wa barabara za Tanzania...hili hata wewe mwenyewe you'll note the difference ukidrive kwenye hizo nchi. Na kizuri TZ barabara zimesambaa kote kote yaani sio tu Dar...
Nadhani hii pia inachangiwa na upya wa barabara nyingi Tanzania na controlled weight ya magari makubwa ndo inafanya barabara hizi ziwe bora..... mkuu unaweza safiri na Vitz from North of TZ to South, East to West bila shida yeyote na hata kuona shimo barabarani....je tusiite barabara bora?
Nakaziaa...hata ukianzia Moro mpaka una ikanyaga Makambako huwezi kukuta hata kashimo!!

Barabara nyingi za Tz ni Mpya na zimejengwa kwa Highly Standards

Nilichoona kwenye safari yangu,ni watanzania wengi hawasafiri na wanapenda kusikiliza story za vijiweni pasipo,kutafuta FACTS
IMG_20190826_165627_5.jpeg
 
Back
Top Bottom