Yeah yuko vyedi
Imekaa POA!!π₯Kheri ya siku ya maazimisho ya Muungano!
Baada ya kutulia kwa muda nimeamua kutembelea YouTube. Huko nimekutana na album mpya ya Jay Melody, kiukweli sikuwa na idea kwamba Jay Melody katoa album.
Huko nimekutana na ngoma kali ya Superstar. Humu mikono ya GeniusJini imekaa vyema.
Link hii hapa kaisikilize
View: https://youtu.be/Pftv1tswMNw?si=DAO5BZXq6Bhc58D0
Hauna sikio la muziki.... hitsong kwenye hiyo album itakuwa Naodha ndio wimbo mkali.Kheri ya siku ya maazimisho ya Muungano!
Baada ya kutulia kwa muda nimeamua kutembelea YouTube. Huko nimekutana na album mpya ya Jay Melody, kiukweli sikuwa na idea kwamba Jay Melody katoa album.
Huko nimekutana na ngoma kali ya Superstar. Humu mikono ya GeniusJini imekaa vyema.
Link hii hapa kaisikilize
View: https://youtu.be/Pftv1tswMNw?si=DAO5BZXq6Bhc58D0
Usiniache ft phina ....wameua sana haina kelele...lyrics Kali...biti Kali...melody usiseme ...nice collaboration kwakweli.Kheri ya siku ya maazimisho ya Muungano!
Baada ya kutulia kwa muda nimeamua kutembelea YouTube. Huko nimekutana na album mpya ya Jay Melody, kiukweli sikuwa na idea kwamba Jay Melody katoa album.
Huko nimekutana na ngoma kali ya Superstar. Humu mikono ya GeniusJini imekaa vyema.
Link hii hapa kaisikilize
View: https://youtu.be/Pftv1tswMNw?si=DAO5BZXq6Bhc58D0