Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
je, ni matangazo yapi ya radio na tv yaliyotamba mwaka huu?
Personally lile la tv... Duh, tigo, lilikuwa bomba
na midude ile ya fataki ni mizuri na imejaa ubunifu wa hali ya juu ile mbaya.
Kweli mjomba mpoto ni msanii aliyeiva