Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Nilihitimu IAA mwaka 200922. Institute of Accountancy Arusha ( World Rank: 15906)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilihitimu IAA mwaka 200922. Institute of Accountancy Arusha ( World Rank: 15906)
Kivipi mkuu, naona umenyong'onyea, basi ngoja niseme nimesoma yohana university angalau utajisikia poa.Huna lolote!
Labda alikosa kwa figisu/zengwe inawezekana piaHa ha ha ha ila unaweza kuta UDSM ndiyo kilikuwa cha kwanza kwenye kuapply ila ukakosa ukaishia huko OUT
SUZA tumejikunyataKivipi mkuu, naona umenyong'onyea, basi ngoja niseme nimesoma yohana university angalau utajisikia poa.
Ubora wa chuo plus juhudi za mwanafunzi ndio huleta elimu bora. Mbona huko UDSM wanafunzi wana disco sana tu.Mwisho wa siku na akili ya mtu inahusika sana,unaweza kusoma mlimani ukatoka na gpa mbovu na unaweza kusoma open ukatoka na gpa bora kabisa
Kazi siku hizi ni conections/undugu na sio uwezo wa mtu. Ni taasisi chache sana ndio huzingatia uwezo na juhudi za mtumishi ila nyingi ni za kujuana.Ila sasa ubaya ni kwamba wote hawa wakimaliza kusoma wanakutana mtaani wakihangaika na bahasha zao za kaki bila matumaini yoyote,
Tutasoma kulingana na uwezo wetu kifedhaUtopolo tupu,
Kama hujasoma
MiT Yale, Oxford, LSE, au Duke achana na hizi time wasters
Hakuna uhusiano wowote ule baina ya uwezo wa mwanafunzi na ubora wa chuo ndio maana hata top 10 ya wahitimu wa kidato cha sita wapo wanaotoka katika shule ya ada nafuu.Mm nimesoma out BA Econ aisee mtu wa UD namkimbiza kama mwizi wasikutishe
Hahaha....hata mimi nimesoma kwenye hivi vyuo vyetu vya ndani mkuu siwezi kuvibeza, ka-phd ndo nikapata shavu huko mbele, anyway hizo ranking zinaangalia vigezo kibao na haimaanishi kwamba vyuo ambavyo vipo kwenye nafasi za juu vina ubora mkubwa sana wa elimu kuliko vingine....SUZA tumejikunyata
Utopolo tupu,
Kama hujasoma
MiT Yale, Oxford, LSE, au Duke achana na hizi time wasters
N.I.T mbona Hakipo