Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
<br />hivi kwa nini msitaje jina lake la hapa jf ili tuwe na uelewa wote?????????/
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Marehemu Regina Luhanga.<br />
alipata ajali Korogwe 2006 ama 2007 akiwa na Marehemu Esther Maruma... Esther alifariki palepale ila Regina alifariki baada ya wiki moja kama sikosei...
<br />Pole sana Mungu amlaze mahali pema peponi! Wadau mi sielewi maana yake nini au kirefu chake ni nini hilo neno R.I.P, kuna watu kama wawl hv wametumia hilo neno hapo juu nisaidieni jamani.
Dah! nimeiona hiii picha imenistua sana, Regina was the best friend kwa kila mtu aliyekuwa anamfahamu,though zimepita siku nyingi lakini inaonekana kama ndoto vile
RIP Regina
Ndo nini kuchekesha watu katikati ya majonzi?...lol..was my sweet sis kwa kweli alikuwa friend wa kila mmoja na jina lake la BESSTTTTTTTTTTTTTTTT YAANI KAMA UNGEJUA SIKU FULN ATAKUFA MTU FULANI MUHIMU KWAKO NA UNAUWEZO WA KUSWARP NINGEMBADILISHA NA MKURUGENZI WA EWURA KWA KWELI
Mkuu Basiasi nadhani alikuwa zaidi ya rafiki kwako kwani "ze wei ulivyo-miss..." Alikuwa rafiki yangu pia though alivyoenda TCC tulipotezana... Mpaka nilipopata habari ya ajali na baadaye msiba...Nashukuru Mungu kuwa mimi nilishiriki Mazishi yake Kinondoni...RIP Best...
<br /><b>R</b>est <b>I</b>n <b>P</b>eace