Best way to remove private hair(sehemu za siri)

Best way to remove private hair(sehemu za siri)

Kuna hair removal creams unapaka baada ya katika ya dkd 3 - 5 unaaingia kuoga unayatoa, yanakuwa yameinika yanakuacha ngozi kama kulikuwa hakuna kitu.
Ila uangalie vizuri aina as kuna za sensitive skin na za ngozi kawaida tu. kama hujawahi kutumia unashauriwa utumie kidogo sehemu ndogo ili kama ukipata reaaction basi ujue haikufai. ukipata ukaizoea basi yote kwa kwenda mbele unatumia tu.
ulizia kwenye maduka ya vipodozi au pharmacy.
 
Kuna kimashine kinauzwa 100,000/= nasikia chenyewe kinayachoma ila watumiaji wanalalamikia moshi,nasikika moshi unatoka kama wa treni,ila kuna thread moja aliweka MziziMkavu humu jamvini kwa watu wanaotaka kuongeza brain power wajifukizie kwa moshi wa nywele,sasa kwa hii procedure naona kama itasaidia kufanya kazi zote mbili,yaani kunyoa na ku improve brain power.
 
Last edited by a moderator:
Kuna hair removal creams unapaka baada ya katika ya dkd 3 - 5 unaaingia kuoga unayatoa, yanakuwa yameinika yanakuacha ngozi kama kulikuwa hakuna kitu.
Ila uangalie vizuri aina as kuna za sensitive skin na za ngozi kawaida tu. kama hujawahi kutumia unashauriwa utumie kidogo sehemu ndogo ili kama ukipata reaaction basi ujue haikufai. ukipata ukaizoea basi yote kwa kwenda mbele unatumia tu.
ulizia kwenye maduka ya vipodozi au pharmacy.

Nitacheck hii.. Je unaweza kunitajia japo jina moja ya hzo cream... Sensitive one
 
acha kujishaua hapa...nobody has ever graduated in english including your english teacher..

JF ni sehemu ambayo tunajifunza yale ambayo hatukuwa tukiyafahamu mwanzo,ama tulikuwa tunayafahamu ndivyo sivyo..
Yeye ameshukuru kwa elimu.,wewe hujafurahia.
Halafu usiruhusu misemo iongoze maisha yako,utapotea.
 
ckukua panga liweke jikoni likipata moto jibandike kwny hzo nywele,yn hutopata tena adha ya hizo nywele
 
Mh! hzo za kupaka muangalie sana jaman,mtakosa kudindisha mkimbiwe na wake zenu. kwani ukiyafuga ni tatizo? kwangu mie nilishanunua machine km wanazonyolea salon. hvyo nimepunguza gharama z kwenda salon kunyoa ndevu. hii pia ni nzuri kwa kumsafishia wife kwani nina hakika kila baada ya kumsafisha au hata wakati wa kumsafisha jogoo lazima awike. ukiona hvyo usilaze damu,tia kitambaa kwenye maji ya vuguvugu na uisafishe ili kundoa vinywele nywele na weka jogoo wako ndani.
 
Back
Top Bottom