Best yangu kanuna baada ya kuniona na demu.

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,952
Kumekucha

Kuna msichana mmoja hivi alikuwa rafik yangu kitaaaaambo. Ila nilikuja kumtupiaga swaga Lakini akasema HAPANA best Mimi nimeolewa. Nkamwambia WOKEEEEY hakuna neno.

Nikaona nifanye Mambo mengine na tukawa tunaendelea na urafiki wetu Kama kawaida.

Juzi Kati tukakutana mtaani nikiwa na beibe wangu mmoja hivi. Aliponiona tukasalimiana Kama kawaida yakaisha.

Ila siku iliyofuata Sasa ikawa

Kila nikimtumia msg hajib, nikipiga hapokei
Wala hanitaguti teeeeeena

Jaman

WANAWAKE
MUNGU anawaona....

We umenikatalia halaf unanionea wivu ni haki kweli?????


GOD BLESS YOU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu hana ila roho inamuuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uong
Uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…