BET hawako fair

BET hawako fair

Na nyinyi mnadhani Diamond anajulikana Africa yote [emoji23][emoji23][emoji23].
Nashauri kama tuna ubavu basi tujiunge na StarBoy kuzigomea hizi awards sio maneno ya mkosaji wakati kipindi cha mchakato tulikua busy kuomba kura na kujiaminisha kua tunashinda wakati tunajua soko la nje sivyo ambavyo tunaamini lilivyo kuna wasanii muziki wako kimataifa zaidi na sisi hatuwajui uku tukiamini Diamond anatambulika kimataifa kisa amepiga picha na Kanye West ni uzwazwa bado naamini Diamond akitoa albamu leo hii hakika tutanunua around Tz,Kenya na Ug lakini inawezekana Black Coffee ana soko kubwa duniani kwa albamu zake hapo ndipo panatakiwa pafanyiwe kazi sio hizi video za Godfather zisitupe kiburi cha kuvimba napenda kumpongeza Diamond kwa kuonyesha uungwana wa KUMPONGEZA Black Coffee kwa ushindi wakati sisi uku tunamponda inawezekana mwenzetu anamjua vizuri ila sisi tunaoamini muziki ni Diamond na Kiba ndio tunapiga makelele kama wehu,Diamond ni wakati wa kujipanga kwenda kimataifa usiamini hizi sifa zetu kua eti wewe ni msanii bora zaidi Africa wakati hata Black Coffee hatumfahamu mpaka leo BET wametujuza kua yupo.
Angekuwa Nominated kama hajulikani Africa? Angekuwa nominated mara mbili mfulilizo? Wangapi wanajulikana Afrika hawajawa Nominated tangu hizi tuzo Zianzee? Acha chuki
 
hajulikani kwako!

blk coffee ni mwanamuziki sio mwimbaji dogo, ni DJ, producer na song writer na concert expert
Ulimpigia kura? Na unauwakika kwamba kashinda kwa kigezo cha wingi wa kura?
 
Ulimpigia kura? Na unauwakika kwamba kashinda kwa kigezo cha wingi wa kura?

sikupiga kura, na sina uhakika kama kashinda kwa kigezo cha kura, ila wenye mashindano ndio wamtangaza, hutaki TAFUTA yako!
 
sikupiga kura, na sina uhakika kama kashinda kwa kigezo cha kura, ila wenye mashindano ndio wamtangaza, hutaki TAFUTA yako!
Wapi nimesema simtaki?
nimekuuliza tu

Hiv ni kigezo kipi kinachotumika kumpata mshindi wa kila kipengele?
 
Wapi nimesema simtaki?
nimekuuliza tu

Hiv ni kigezo kipi kinachotumika kumpata mshindi wa kila kipengele?

hakuna mkuu, na ndio maana kuna wanayoyagomea!....definitely sio kura

ukiona nasisitiza sana au kuwakasirisha sana ni kuwa ifike muda tuone haya mashindano hayana maana kwetu! tukomae na miziki na watu wetu mbona wako vizuri?

lakini kukomaa na kujiandaa na kupiga kura kisha tunalalamika haitujengi

mwaka wa tisa sasa BET kila mwaka inalaumiwa!

wizkid mbona kayapiga chini na aligoma kwenda wala kushiriki japo wali m nominate?
 
BET niliisha acha fatilia toka 2008 baada ya kugundua hizi awards zinalengwa kwa hasa wasanii wapya na mafremason wenzao. Yan wao wanatumia kama platform ya kumkuza mwanamziki fremason ili ajulikane zaid.
 
Hawa ndio wabongo.

1. Akishinda kahonga na akikosa hajui. Ukiwauliza mbona Wizkid,Yemi, A.K.A na casper wamekosa ........... hawana jibu,unapata jibu chuki.

2.Ukiwauliza kama nomineezii hawajui kwa vile hawakushinda je,ambao hawakuwa nominiizi tutawahitaje ............. wanabaki kukuangalia jibu hawana,unapata jibu chuki inawasumbua.

Kumbukeni tsh,10,000/ haipungui thamani yake dhidi ya tsh,500 mpya, kisa eti tsh 10,000/ imechafuka.
 
Na nyinyi mnadhani Diamond anajulikana Africa yote [emoji23][emoji23][emoji23].
Nashauri kama tuna ubavu basi tujiunge na StarBoy kuzigomea hizi awards sio maneno ya mkosaji wakati kipindi cha mchakato tulikua busy kuomba kura na kujiaminisha kua tunashinda wakati tunajua soko la nje sivyo ambavyo tunaamini lilivyo kuna wasanii muziki wako kimataifa zaidi na sisi hatuwajui uku tukiamini Diamond anatambulika kimataifa kisa amepiga picha na Kanye West ni uzwazwa bado naamini Diamond akitoa albamu leo hii hakika tutanunua around Tz,Kenya na Ug lakini inawezekana Black Coffee ana soko kubwa duniani kwa albamu zake hapo ndipo panatakiwa pafanyiwe kazi sio hizi video za Godfather zisitupe kiburi cha kuvimba napenda kumpongeza Diamond kwa kuonyesha uungwana wa KUMPONGEZA Black Coffee kwa ushindi wakati sisi uku tunamponda inawezekana mwenzetu anamjua vizuri ila sisi tunaoamini muziki ni Diamond na Kiba ndio tunapiga makelele kama wehu,Diamond ni wakati wa kujipanga kwenda kimataifa usiamini hizi sifa zetu kua eti wewe ni msanii bora zaidi Africa wakati hata Black Coffee hatumfahamu mpaka leo BET wametujuza kua yupo.
Ukweli ni kwamba hata Yemi alade anajulikana Africa kuliko Black coffee, achilia mbali Wizzy kid, Diamond na wengineo, kwa Dunia ya Leo ilivyo kijiji ntamshangaa mtu anayesema Black Coffee ni Msanii mkubwa Africa, Emptee tu yule mrangirangi wa Capetown ni maarufu kuliko hata Black Coffee, sema nakubaliana na mtoa mada kuwa lengo la BET labda nikuwa promote up coming artists!
 
Ila umesahau kuweka alama ya mshangao!!! Baada ya kushangaa
Hahahahahahaha [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Black Coffee (born Nkosinathi Maphumulo on 11 March 1976) is a South African multi-award winning record producer and DJ. He began his career around the year 1995[1] and has released five albums[2] and a live DVD under his Johannesberg-based record label, Soulistic Music.[3] He is arguably the most prominent electronic music producer in Africa.[4] He had his big break shortly after being chosen as a participant in the 2004 Red Bull Music Academy held in Cape Town.[5] On the 29th of September 2015, he won the "Breakthrough DJ Of The Year" award at the DJ Awards in Ibiza,[6] a few weeks after the release of his fifth studio album, Pieces Of Me.[7]
 
Ok ok okay naona Best International Act Africa ameshatajwa toka jana, here are my thoughts on BET.

BET naona wameprove kuwa label za nje haziwezi kusimamia muziki wa Africa. Kwa mara ya pili mfululizo anashinda mtu asiyestahili, mwaka jana Stanbwoy wa Ghana aliwashinda Wizkid na Fally Ipupa ambao ndio waliostahili kupata hiyo tuzo.

Mwaka huu pia naona wamemtambulisha tena mtu asiyefahamika Afrika kwa waafrika na kupelekea wabongo ambao ni team Wizkid wamsaliti boss wao na kuwa team kahawa. Mwenendo huu unaonesha kabisa kuwa BET hawaujui muziki wa Afrika hata kidogo kwani huyo blackcoffee anatamba Africa kusini pekee, lakini pia licha ya kwamba anatamba SA tu, hata huko bado hana uwezo wa kuwafunika AKA na Casper.

Wasauzi wengi walipeleka kura kwa Casper na AKA hivyo BET nadhani ni watenda miujiza kwa kweli. Mwanzo nilimuona Wizkid anazingua na angeweza kuharibu harakati za kuingia katika soko la Marekani kisa hajaenda BET ila sasa nimepata jibu. BET ni platform ya kuwasaidia wasanii chipukizi kujulikana katika international market hivyo ni wakati sahihi kwa wasanii wakubwa wa Afrika kutohudhuria tena BET kama WizKid.

Mshindi wa mwisho wa BET ambaye alistahili ni Davido basiii wengine hamna kitu na ndio maana hata sasa wengi wenu hamumjui Stonebwoy na hata huyu coffee Olomide baada ya hekaheka za BET hamtamsikia teeeena.

Lakini pia ifike wakati mashabiki wa Diamond wawe na busara. Sio kisa Diamond kakosa basi ndio muanze kutukana watu mitandaoni, mnaharibu image ya Diamond lakini kikubwa zaidi image ya taifa. Watanzania tunaanza kuonekana wajinga kisa watu wachache, mbona wanaija hawatukani???[emoji34]
Mzungu sio mnafiki!! You get what you deserve
 
Back
Top Bottom