Babuuu ni heri kuamini Mungu yupo ili hata ukimkuta haitakuwa hasaraEwaaaaa.... Stuka! Think!
Sio kila anayefanya kazi hospitali ni daktari... you know woram seyyying??
Hahahaa... kijana angalia utapata laana ...Hata ww sio babu unatuektia kumbe ni kabitozi tuu..
Stori zako zote unaanzia mwaka 200
Mzee ni kichuguu na wengine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]I bet, the interview of cocochanel also will be with this language from abroad
Naona umemalizia kwa kizungu ili kuweka msisitizo. Unadhani kwa kizungu hicho ndo utaonewa huruma?? Utalambwa ban kama kawa na sisi tutaendelea kudunda...Babuuu ni heri kuamini Mungu yupo ili hata ukimkuta haitakuwa hasara
Ila usiamini afu umkute...utajua kitakukuta nini
Shauri yako
Me i choose to believe beth ni mod kwa kweli
We mwache tu. Unaweza kuta ye ndo alinipiga ban wallah...Hata mimi kwa kweli
Kama ni yeye basi ajue tu Mungu anamuona
Mi ikifika zamu yangu, ntaomba wewe uniintavyuu kwa kipembaI bet, the interview of cocochanel also will be with this language from abroad
Ewaaaa....Mods wote nawajua, labda ni ID ya kunyapia nyapia viubuyu sio ya kazi
HahahahahahaaaaMi ikifika zamu yangu, ntaomba wewe uniintavyuu kwa kipemba
Kwani ulipewa ban hivi karibuni?We mwache tu. Unaweza kuta ye ndo alinipiga ban wallah...
Hivi kama si utavu wa nidhamu utampigaje ban babu yako??
Kwani intavyuu za muosha rungu si ni kwaajili ya warembo tuu?Mi ikifika zamu yangu, ntaomba wewe uniintavyuu kwa kipemba
Hivi kumbe?? Ndio maana anapenda kuosha rungu...???Kwani intavyuu za muosha rungu si ni kwaajili ya warembo tuu?
Walinionea tu. Eti kwasababu nilimtongoza nyumba ndogo wa Mod...Kwani ulipewa ban hivi karibuni?
Kumbe hadi babu zetu hamnaga adabu?
Tutapanda meli tukajifunzie hukohuko... liwalo na liweHahahahahahaaaa
mimi sio mpemba mkuu
Muache babu, usimuwashe washeKwani ulipewa ban hivi karibuni?
Kumbe hadi babu zetu hamnaga adabu?
Mimi nina kipando asilia ambapo sio meliTutapanda meli tukajifunzie hukohuko... liwalo na liwe
Ulinidanganya kikristu hakipandi... mbona unamwaga ngeli namna hii?? Una undugu na Madonna?
Yah ila leo kaosha rungu kwenye maji ya betri.Hivi kumbe?? Ndio maana anapenda kuosha rungu...???