Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wale wanaoifahamu hii shule nasikia iko Mafinga. Ningependa kupata maelezo yake kuhusu ubora wa taaluma, mahali/sehemu ilipo kwa huko Mafinga na kama ni mchanganyiko na mengine mengi. Natanguliza shukrani mbele.
Kitaaluma iko pouwa sana, ni ya wasichana tu, ipo mafinga kijiji cha luganga barabara ya kuelekea mufindi.
Kwa wale wanaoifahamu hii shule nasikia iko Mafinga. Ningependa kupata maelezo yake kuhusu ubora wa taaluma, mahali/sehemu ilipo kwa huko Mafinga na kama ni mchanganyiko na mengine mengi. Natanguliza shukrani mbele.
cha ziada ni kwamba ni shule ya kikristo so inapokea wakristo tu otherwise kama ni dini nyingine ukubali mwanao kulelewa kwa misingi ya kikrito bro!
Shule ni nzuri maana iko karibu na boys wa Mafinga Don Bosco hivo hamna kuugua kuchekelea kabisa
Pia aki interact na hawa wa DON Bosco watamsaidia maana wako kati ya best schools matokeo yao waweza cheki kwa google
Thanks mkuu, ila hapo kwenye kua karibu na ''boys wa Don Bosco'' na hasa ulipoweka kipengele cha ''hamna kuugua kuchekelea'' na hizo ''interaction'', nimejikuta mapigo ya moyo yakiongezeka speed. Mkuu ulipita hapo Don Bosco nini? Anyway lakini shule academically (kitaaluma) inaonekana iko juu.
Thanks mkuu, ila hapo kwenye kua karibu na ''boys wa Don Bosco'' na hasa ulipoweka kipengele cha ''hamna kuugua kuchekelea'' na hizo ''interaction'', nimejikuta mapigo ya moyo yakiongezeka speed. Mkuu ulipita hapo Don Bosco nini? Anyway lakini shule academically (kitaaluma) inaonekana iko juu.
Google kwanza matokeo yake necta kwa form four zilizopita ndipo utaupata ukweli zaidi. Mimi shule nzuri ni ile inayocheza nafasi yoyote katika kumi bora follows twenty bora, thirty bora kitaifa. Kwenye necta wameweka band ya kijani high petforming schools na ni top ten zote, followed by yellow ambazo ni medium performing schools and red low performing schools ambapo shule nyingi zimetumbukia humu. Kwa wale mnaotegemea kuanza mchakamchaka wa form one 2015 basi pata kwanza shule zako toka mtandaoni kabla hujaenda msimbazi centre kuchukua form -kwa wale wa Dar. Ila mwandae kwa kuwa shule nzuri ni competition ya kufa mtu.
Shule ni nzuri maana iko karibu na boys wa Mafinga Don Bosco hivo hamna kuugua kuchekelea kabisa
Pia aki interact na hawa wa DON Bosco watamsaidia maana wako kati ya best schools matokeo yao waweza cheki kwa google
Thanks mkuu, ila hapo kwenye kua karibu na ''boys wa Don Bosco'' na hasa ulipoweka kipengele cha ''hamna kuugua kuchekelea'' na hizo ''interaction'', nimejikuta mapigo ya moyo yakiongezeka speed. Mkuu ulipita hapo Don Bosco nini? Anyway lakini shule academically (kitaaluma) inaonekana iko juu.