KERO BETIKA haitaki kuwalipa wateja wake

KERO BETIKA haitaki kuwalipa wateja wake

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari,

Napenda kukuandikia ujumbe huu kuomba msaada wa kutupazia sauti.

Kampuni ya Betika inayoendesha michezo ya betting imeshikilia pesa za wataja wao.

Pesa hizo zinahusisha miamala ya kudeposit na kutoa pesa. Changamoto hii inaenda kumaliza mwezi sasa bila suluhu yoyote ile.

Mwanzo mwa mwezi wa 12 last year walisema kilichosababisha ilikuwa ni changamoto ya mtandao na hivyo tuliombwa kusubiri kwa saa 24-72 lkn sasa yapata mwezi.

Mbaya zaidi tukiwapigia simu hawapokei na sms zetu hawajibu. Naomba utupazie sauti ndugu
 
Mnabetia kampuni za ajabu sana,haya malalamiko ulipaswa uyapeleke bodi ya michezo ya kubahatisha wanapaswa kufuatiia hili suala lako maana serikali inapata fedha kupitia hiyo michezo
 
Habari,

Napenda kukuandikia ujumbe huu kuomba msaada wa kutupazia sauti.

Kampuni ya Betika inayoendesha michezo ya betting imeshikilia pesa za wataja wao.

Pesa hizo zinahusisha miamala ya kudeposit na kutoa pesa. Changamoto hii inaenda kumaliza mwezi sasa bila suluhu yoyote ile.

Mwanzo mwa mwezi wa 12 last year walisema kilichosababisha ilikuwa ni changamoto ya mtandao na hivyo tuliombwa kusubiri kwa saa 24-72 lkn sasa yapata mwezi.

Mbaya zaidi tukiwapigia simu hawapokei na sms zetu hawajibu. Naomba utupazie sauti ndugu
Hahahahaha Wa Kenya hao wameshafanya yao😀
 
Back
Top Bottom