Betram Nchimbi ni mchezaji wa timu ndogo.

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Nchimbi taratibu kaanza kupotea pale Yanga. Alipokua Njombe mji Nchimbi alikua akiibeba timu mabegani mwake. Azam wakamtamani wakamsajili. Hakuna alichokifanya pale Azam complex hadi wakaamua kumtoa kwa mkopo na kuishia polisi. Alipokua polisi alikiamsha kweli kweli mpaka akaitwa timu ya Taifa. Lakin toka asajiliwe pale jangwani hakuna cha maana alichokifanya. Namuona msimu ujao akiondoka na kukimbilia Namungo. Aina ya wachezaji km Nchimbi wapo duniani kote,wao huvuma wanapokua na timu Underdog tu! basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kacheza mechi ngapi akiwa Yanga??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ulitaka afanye maajabu gani ndani ya mwezi mmoja? Unakumbuka Deo Kanda na Kahata walichukua muda gani mpaka kung'ara pale Simba? Bado mapema sana kumuhukumu kijana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikupora kifaa chako nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…