Betri inaisha kama radi simu ikifisha 50% kushuka

Betri inaisha kama radi simu ikifisha 50% kushuka

Habari ya mchana!

Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
Imekufa betri, nunua nyingine
 
Pole sana tena sana, hapo kubaliana na yote maana hizo zina tabia sana kama hizo. Tafuta nyingine tu hapo.
Muda wote nimeweka chaji saiz. Yan nimekuwa mfungwa mana ili nichat inabid niwe karibu na socket🤪
 
Ata siyo. Kiukweli imenichosha. Imagine nilivyoliza kutype nikafpost, kukaa dak tatu tu ikadrop yote asilimia 67[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee
 
Habari ya mchana!

Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
Pole jana Judy. Nenda kawaone wataalamu wa electronics. Inawezekana betri imefikia mwisho wa uhai wake.
 
Back
Top Bottom