ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Wanasema ni bora tecno kuliko infinix, sijui kuna ukweli wowote.Infinix hot6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema ni bora tecno kuliko infinix, sijui kuna ukweli wowote.Infinix hot6
Hiyo S series ya mwaka gani yenye tabia hiyo?😳Kama sio Iphone n samsung S series
Infinix hot6
Imekufa betri, nunua nyingineHabari ya mchana!
Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
Pole sana tena sana, hapo kubaliana na yote maana hizo zina tabia sana kama hizo. Tafuta nyingine tu hapo.Infinix hot6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeAta siyo. Kiukweli imenichosha. Imagine nilivyoliza kutype nikafpost, kukaa dak tatu tu ikadrop yote asilimia 67[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole jana Judy. Nenda kawaone wataalamu wa electronics. Inawezekana betri imefikia mwisho wa uhai wake.Habari ya mchana!
Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
Mmmh wee hot6? Mbna ni toleo la muda sana? DuuhInfinix hot6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda wote nimeweka chaji saiz. Yan nimekuwa mfungwa mana ili nichat inabid niwe karibu na socket[emoji2957]
😄😄😄Nenda sambamba na wanaoulizia avatar yako. Uchumi wa kununua simu mpya upo humu humu.Uchumi wa kununua cm mpya n ngumu. Bora betri kwa mbali😂😂