Sacsosanct
Member
- Sep 2, 2014
- 27
- 36
Boss angalia System ya umeme katika gari yako kuna kipo loose Katika System ya umemeNina swali wazee: gx 110, nikiwa naendesha iko vizuri, nikipaki, masaa matatu au zaidi inanyonya betri, nimenunua betri mpya ila bado, wamecheki alternator lakini bado. Mafundi ni kama wanaotea. Nikiendesha, nikipaki usiku, nikiamka asubuhi haipigi. From dar. Msaada plz
Kabisa. Kama umeweka after market alarm system, anza na hiyo.Boss angalia System ya umeme katika gari yako kuna kipo loose Katika System ya umeme
Alarm za mchongoKabisa. Kama umeweka after market alarm system, anza na hiyo.
Sio kwamva kipo loose bali kuna kitu kipo on muda wote.Boss angalia System ya umeme katika gari yako kuna kipo loose Katika System ya umeme
Yes. Zinazingua sana. Jamaa wanakosea kwenye kuzifungaAlarm za mchongo
Short circuit inaweza ikawa chanzo cha ishu yako.Nina swali wazee, gx 110, nikiwa naendesha iko vizuri, nikipaki, masaa matatu au zaidi inanyonya betri, nimenunua betri mpya ila bado, wamecheki alternator lakini bado.
Mafundi ni kama wanaotea. Nikiendesha, nikipaki usiku, nikiamka asubuhi haipigi. From dar. Msaada please!
Wasiwasi wangu ni short circuit. Kwa gari kama hiyo ukizima inatakiwa fuses karibu zote ziwe hazina umeme.Nimemwita fundi wa kwanza akaniambia betri, nimebadilisha nimenunua betri mpya, bado tatizo lipo. Nimemwita fundi wa pili kakagua karekebisha umeme kaniambia tayari, bado tatizo lipo. Kuna mmoja ananiambia itakua earth wire imegusana na kitu sijui ni kweli?
Namba zake tafadhaliKama upo DAR Kwanini unahangaika wakati JituMirabaMinne yupo hapa?
Mtafute huyu jamaa atakusaidia maana ni mchawi wa umeme
Yaa, japokua mimi sijafunga alarmAlarm za mchongo
Yaani ni shida, inanyinya hatari, so huyo aliyesema kuhusu earth wire huenda nae kazingua sio?Wasiwasi wangu ni short circuit. Kwa gari kama hiyo ukizima inatakiwa fuses karibu zote ziwe hazina umeme.
99% kunyonya huwa ni shoti.Yaani ni shida, inanyinya hatari, so huyo aliyesema kuhusu earth wire huenda nae kazingua sio?
0621 221 606Namba zake tafadhali
Badilisha cut out funga ile ya ndani kwa ndani ya alternator ndo nzuri hasa zile za used from JapanNina swali wazee, gx 110, nikiwa naendesha iko vizuri, nikipaki, masaa matatu au zaidi inanyonya betri, nimenunua betri mpya ila bado, wamecheki alternator lakini bado.
Mafundi ni kama wanaotea. Nikiendesha, nikipaki usiku, nikiamka asubuhi haipigi. From dar. Msaada please!
Enzi za cut out za nje mbana zamani sana bro!Badilisha cut out funga ile ya ndani kwa ndani ya alternator ndo nzuri hasa zile za used from Japan
Earth hakuna dc system , unless uwe unaongelea negative terminalYaani ni shida, inanyinya hatari, so huyo aliyesema kuhusu earth wire huenda nae kazingua sio?