Chris-Jordan
Member
- Jan 5, 2021
- 6
- 9
Nina Toyota Mark X Grx120 ya 2008 nilinunua 2019 mpaka leo ninavyoandika nishabadilisha betri 4 N50 dry cell 3 na ya maji 1 zote zimekufa , Sijajua sababu mpaka sasa naomba msaada kwa anayeweza kufaham nini tatizo? Hii ni kawaida au?
Ahsante mkuu, kusolve napaswa kufanya nin?1. Gari yako ina leakage ya umeme
2. Una alternator mbovu.
3. Gari ina electrical load kubwa. Mathalani wanaoongeza miziki.
yes hii nayo sababuUnanunua betri brand gani kwanza??? Isije ikawa unanunua betri za bei nafuu feki ,
Kuna majina ya betri ukinitajia tu nitajua shida bi betri au gari lako
Ya kwanza ilikuwa varta N50, ya pili na 3 sikumbuki jina ila ilikuw made from german hi iliyokufa juz n chloride exideUnanunua betri brand gani kwanza??? Isije ikawa unanunua betri za bei nafuu feki ,
Kuna majina ya betri ukinitajia tu nitajua shida bi betri au gari lako
Na zote n mpya sijawahi nunua used kama hii ya mwisho nilienda chloride exide ofisn kwaoyes hii nayo sababu
Itakua Oxide tu.Unanunua betri brand gani kwanza??? Isije ikawa unanunua betri za bei nafuu feki ,
Kuna majina ya betri ukinitajia tu nitajua shida bi betri au gari lako
Pima charging system ya gari yako kama kuna shida irekebishwe...Ahsante mkuu, kusolve napaswa kufanya nin?
Ahsante chief nitakuchekPima charging system ya gari yako kama kuna shida irekebishwe..
Ukikwama nicheck 0621 221 606
Alternator mbovu badilisha utanipa majibuNina Toyota Mark X Grx120 ya 2008 nilinunua 2019 mpaka leo ninavyoandika nishabadilisha betri 4 N50 dry cell 3 na ya maji 1 zote zimekufa , Sijajua sababu mpaka sasa naomba msaada kwa anayeweza kufaham nini tatizo? Hii ni kawaida au?
Hahahah Exide chloride😅😅😅 betri la kifala kuwahi kuundwa na yale spark MFItakua Oxide tu.
Thanks chief ntafanya hivoAlternator mbovu badilisha utanipa majibu
Nenda kafanye check up mkuuAhsante mkuu, kusolve napaswa kufanya nin?
Naomba picha ya hio unayoita dry cellNina Toyota Mark X Grx120 ya 2008 nilinunua 2019 mpaka leo ninavyoandika nishabadilisha betri 4 N50 dry cell 3 na ya maji 1 zote zimekufa , Sijajua sababu mpaka sasa naomba msaada kwa anayeweza kufaham nini tatizo? Hii ni kawaida au?
Ulivonunua battery uliona wakiifanyaje?? Na ukatumia muda gani?? Baada ya huo muda uliwah angalia kiasi cha maji yaliopo ili ku maintainNa zote n mpya sijawahi nunua used kama hii ya mwisho nilienda chloride exide ofisn kwao