Betri za Redio zikiisha Nguvu huwa tunazianika Juani Kisha tutaendelea Kuzitumia je, Betri za Simu zikianza Kupungua Nguvu tunafanyaje?

Betri za Redio zikiisha Nguvu huwa tunazianika Juani Kisha tutaendelea Kuzitumia je, Betri za Simu zikianza Kupungua Nguvu tunafanyaje?

Na bahati mbaya simu za siku hizi betri zake sio za kutoa ni zile za 'internal'.
 
Niliyonayo ni ya Kutoa. Nimecheka sana.
2013 Kuna dogo alitoa betri ya simu akawa anailamba lamba kui test Kama tulivyozea kufanya kwny zile betri za redio aisee alilipukiwa na Ile betri mdomoni,mdomo ulichanika mixer kupasuka mbaya kabisa mpk alipelekwa kutibiwa India chini ya ufadhali wa serikali ya Tz
 
2013 Kuna dogo alitoa betri ya simu akawa anailamba lamba kui test Kama tulivyozea kufanya kwny zile betri za redio aisee alilipukiwa na Ile betri mdomoni,mdomo ulichanika mixer kupasuka mbaya kabisa mpk alipelekwa kutibiwa India chini ya ufadhali wa serikali ya Tz
Kwahiyo kuna Ujumbe upi unatoa hapa?
 
Battery za smu ni Lithium battery ambazo unaweza ku-recharge. Lakn za redio ni unrechagable.
 
Hapa nitakuwa nasoma tu Maoni yenu!!!

Inaonyesha kuwa watu wa zamani walikuwa wanajiongeza kama wakishindwa wanarudi kusikiliza ila hawa wa kisasa wakiishiwa hakuna tena ndo imetoka.

Mfano wa kutafakari
 
Hapana haitaongeza charge.

Betri za kawaida za Zinc Carbon huwa zina gain energy kidogo ukiweka juani sababu lile joto ka jua lina accelerate reaction ya Zinc na Manganese Oxide. Betri ikiisha huwa ni kwamba reaction hii imeshanyika sana kiasi kwamba electrolye imebaki kidogo. Hvyo ukiweka kwenye jua ina accelerate hii reaction kwa hyo electrolyte iliyobaki kidogo na kukupa umeme kidogo.


Betri za simu za kisasa zinatumia Lithium Ion technology na hii iko tofauti kdgo na betri za kawaida. Kuziweka kwenye jua utasababisha kitu kinaitwa Thermal Runaway. Betri inapokuwa na moto sana inaanza kurelease Electrolyte na hydrogen gas. Mwsho wake inavimba na kusababisha insulator za humo ndani zinazotenganisha layers zinaharibika na kugusana kusababisha short. Hapo betri ndio inaweza kuwaka moto.

Usiweke betri ya simu kwenye jua. Kwanza inapoteza charge ukiweka kwenye jua na sio kujaa. Pia utasababisha iwake moto na kupunguza life span yake
 
Hapa nitakuwa nasoma tu Maoni yenu!!!
Mtindo wa chemical zinazotumika kwenye battery za simu zinazochajiwa kwa umeme yaani rechargeable battery unaruhusu chemical hizo kufanya kitendo kiitwacho reversible reaction.


Mfano rahisi katika ulimwengu wa kawaida;
kuna vyoo hapo nje ambapo maji ya kuoga ukisha yaoga yakienda kwenye tanki la taka huwa hayafai kutumika ila kuna kamtambo kanayasafisha na kuwa masafi tena kisha hurudi bafuni kupitia bomba lile lile na unaoga tena bila kujua.


Hivyo ndivyo reversible reaction huwa.

Kwa lugha nyingine rahisi ni kuwa rechargeable battery ina chemical zinazotumika na zikiisha tumika huruhusu kutumika tena na tena mpaka pale cells zinaoofikia end of life span ndo unasikia Tecno yangu umekufa battery.

Hata hivyo battery hizi haziruhusu kuwa exposed nje ya normal/room temperature nafikiri ni 20 mpaka 25 degree centigrade hivyo kuiweka Juani ni kuiharibu wala si kuicharge. Kwanini unaiharibu ukiweka Juani, ni kwa sababu linatengeneza mgando/ugumu/kukauka kwa chemical kisha uoza na huo ndio mwisho wa flow of cations na anions Kwa kuwa hazitatembea tena na hizi ndo charge bro
 
Hapana haitaongeza charge.

Betri za kawaida za Zinc Carbon huwa zina gain energy kidogo ukiweka juani sababu lile joto ka jua lina accelerate reaction ya Zinc na Manganese Oxide. Betri ikiisha huwa ni kwamba reaction hii imeshanyika sana kiasi kwamba electrolye imebaki kidogo. Hvyo ukiweka kwenye jua ina accelerate hii reaction kwa hyo electrolyte iliyobaki kidogo na kukupa umeme kidogo.


Betri za simu za kisasa zinatumia Lithium Ion technology na hii iko tofauti kdgo na betri za kawaida. Kuziweka kwenye jua utasababisha kitu kinaitwa Thermal Runaway. Betri inapokuwa na moto sana inaanza kurelease Electrolyte na hydrogen gas. Mwsho wake inavimba na kusababisha insulator za humo ndani zinazotenganisha layers zinaharibika na kugusana kusababisha short. Hapo betri ndio inaweza kuwaka moto.

Usiweke betri ya simu kwenye jua. Kwanza inapoteza charge ukiweka kwenye jua na sio kujaa. Pia utasababisha iwake moto na kupunguza life span yake
Jibu zuri sana. Thanks!
 
Back
Top Bottom