Betting: Hatimaye nimemkomesha muhindi

Mkuu hongera sana maana hiyo idadi ya timu ulizoziweka kweli ulijilipua.
 
 
acha ujinga utawapoteza wenzako!!kama umemkomesha kaa nalo mwenyewe kaa la moto kazi kubet tu huo ni ujinga wa hali ya juu dhidi ya vijana wakitanzania na kenya...sio kama umemkomesha bali umejikomesha.
Hii comment mbona imekaa kiwivu zaidi. Inaonekana kama barca kakuchanisha mkeka. Kumfumua muhindi sio kitu kidogo, acha mkuu afurahi, ingawa pesa zenyewe kama za kishetani, zinaisha fasta kama kiroba kidogo
 
Daaaaaadeeeekiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…