Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Wivu huna ila roho inauma. Na upumbavu wake wa fikra ametia kibondoni Mil.5 Muache jamaa ashangilie hela yake.sio wivu mm upumbav wa kubet sina kabisa nawaonea huruma sana koz wanaobet wanakuwa wapumbav kufikiria.
Wanakata kodi hapoNahisi hakuna input ulioiweka kwenye uchumi wa nchi
Weka tuu mkuu. Akianza ubashiri nami nijulshe tumkomoe kwa pamoja. [emoji2][emoji2][emoji2]Nataka Nifuge Pweza Kwaajili Ya Shughuli Ya Betting Tu
Ndani Ya Miezi Miwili Nataka Kuhakikisha Nazoa Pesa Kampuni Zote Za Betting Hadi Wafunge Ofisi.
Nitakwenda Ferry Na Kigamboni Hadi Kilwa Kutafita Pweza Wazima. Baadaye Nakwenda Ubalozi Wa Ujerumani Kupata Mawasiliano Ya Aliyekuwa Anamfuga
Marehem Pweza Poul Kule Ujeruman Nipate Ujuzi Ili Niwakomeshe Hawa Wabetishaji Kabla Ya Christmas
Hizi kampuni za betting znalipa kodi kubwa sana katika nchiNahisi hakuna input ulioiweka kwenye uchumi wa nchi
Nitakujulisha MkuuWeka tuu mkuu. Akianza ubashiri nami nijulshe tumkomoe kwa pamoja. [emoji2][emoji2][emoji2]