Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,180
- 1,964
Kuna mambo mawili binafsi yananikera katika usafiri wa mabasi ya ruti ndefu tz.
1. Mabishano ya wanaoitwa wanazi wa makampuni ya mabasi juu ya ubora wa gari zinazotumika na kipimo ni mwendokasi.
2. Betting ya basi lipi litawahi kufika eneo Fulani.
Yote haya yanachochea mwendokasi na rafu nyingi barabarani kwa sababu hata hao madereva wanajua kinachoendelea.
Akili kumkichwa kwa mamlaka.
1. Mabishano ya wanaoitwa wanazi wa makampuni ya mabasi juu ya ubora wa gari zinazotumika na kipimo ni mwendokasi.
2. Betting ya basi lipi litawahi kufika eneo Fulani.
Yote haya yanachochea mwendokasi na rafu nyingi barabarani kwa sababu hata hao madereva wanajua kinachoendelea.
Akili kumkichwa kwa mamlaka.