pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Habari wandugu
Naomba kujua garama za hii Mashine na je ni vigezo gani anatakiwa kuwa navyo MTU anaetaka kununua awe na kituo cha kununulia tiketi je faida IPO katika mfumo gani?
Nikiwa na maana faida ni kama cammision ya Mpesa na tigo Pesa kulingana na tiketi zilizouzwa au inakuwaje?
Plz msaada Wa ndugu nataka kujiajiri coz naona kwa eneo nililopo hii ni fursa nzuri sana
Naomba kujua garama za hii Mashine na je ni vigezo gani anatakiwa kuwa navyo MTU anaetaka kununua awe na kituo cha kununulia tiketi je faida IPO katika mfumo gani?
Nikiwa na maana faida ni kama cammision ya Mpesa na tigo Pesa kulingana na tiketi zilizouzwa au inakuwaje?
Plz msaada Wa ndugu nataka kujiajiri coz naona kwa eneo nililopo hii ni fursa nzuri sana