Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,306
Mh! Kaka ku bet ni kubashiri na siyo kamali! Mbona hata shekh yahya alikua anatabiri inamaana shekh wetu na yy alikua anacheza kamali? Je ni maandiko gani yanayosema kubashiri, kubahatisha na kutabiri kitu ni haramu? Bado sijayaona mashaka ya kubeti na ubatili wake hakika ni haki kufanya ubashiri!
kula big like