pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Habari wandugu
Naomba kujua garama za hii Mashine na je ni vigezo gani anatakiwa kuwa navyo MTU anaetaka kununua awe na kituo cha kununulia tiketi je faida IPO katika mfumo gani?
Nikiwa na maana faida ni kama cammision ya Mpesa na tigo Pesa kulingana na tiketi zilizouzwa au inakuwaje?
Plz msaada Wa ndugu nataka kujiajiri coz naona kwa eneo nililopo hii ni fursa nzuri sana
Basi hata kucomment in zambiDini hairuhusu kucheza kamali wala kukopa/kukopesha kwa riba!
asante!
Basi hata kucomment in zambi
Hiyo laki 1 wanakuwekea wao km kianzio na haupaswi kuilipa hyo laki.
Peleka barua ya maombi ili uingie kwenye list ya wanaohitaj machine.SIO KWAMBA UKIPELEKA MAOMBI LEO UNAPEWA MACHINE KESHO,KUNA JAMAA ALISUBIRI KWA MIEZ 8 THOUGH CJUI KWA SASA HV
Aisee nilikua na hili wazo ngoja waje
Dini hairuhusu kucheza kamali wala kukopa/kukopesha kwa riba!
asante!
Acheni kumpa nguvu shaitwaani kwa machumo haramu. Tafuteni shughuli nyingine za halali jamani mbona ziko nyingi. Hiyo ni kamari na ni haramu.
Acheni kumpa nguvu shaitwaani kwa machumo haramu. Tafuteni shughuli nyingine za halali jamani mbona ziko nyingi. Hiyo ni kamari na ni haramu.