Mh! Kaka ku bet ni kubashiri na siyo kamali! Mbona hata shekh yahya alikua anatabiri inamaana shekh wetu na yy alikua anacheza kamali? Je ni maandiko gani yanayosema kubashiri, kubahatisha na kutabiri kitu ni haramu? Bado sijayaona mashaka ya kubeti na ubatili wake hakika ni haki kufanya ubashiri!
Swala la dini ni gumu sana na ukitaka ufe maskini endekeza mambo ya dini ambayo mengi ya makatazo wala sio ya mungu ni misimamo tu ya watu wa jamii fulani wanao taka wote tuishi kwa kufuta makatazo yaokula big like
Kubeti ni kamari tu wala usipotoshe watu.Mh! Kaka ku bet ni kubashiri na siyo kamali! Mbona hata shekh yahya alikua anatabiri inamaana shekh wetu na yy alikua anacheza kamali? Je ni maandiko gani yanayosema kubashiri, kubahatisha na kutabiri kitu ni haramu? Bado sijayaona mashaka ya kubeti na ubatili wake hakika ni haki kufanya ubashiri!