GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Siku hizi Mtu akiwa tu ni Maarufu, Mchekeshaji, Msanii au Mbwabwaji Mitandaoni basi haraka sana anakuwa Mtangazi wa Redio na Tv. Naumia sana kuona hii Fani yenye Heshima kubwa duniani kote sasa hapa Tanzania ikiwa ipo ICU na Siku si nyingi inaenda Kufa kabisa. Sikatai ujio wa Teknolojia kwani hilo ni Jambo jema ila pamoja na Teknolojia lakini ile Misingi Mama ya Utangazaji / Uandishi wa Habari haijabadilika na wala haitokuja Kubadilika. Na kinachonisikitisha zaidi Sisi ambao ndiyo Wahusika tumenyamaza na wala hatuhoji hivyo kuendelea tu kuruhusu Upuuzi na Ukiukwaji mkubwa wa Kimaadili kuendelea kuwepo", amesema Mtangazaji Mkongwe, Mshindi wa Kike wa Afrika wa Tuzo ya Uandishi wa Habari za Ukimwi na Mweledi wa Tasnia Elizabeth ( Betty ) Mkwasa alipokuwa akizungumza na TBC1 katika Miaka 73 ya Utangazaji Tanzania.
GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?
GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?