Betty Mkwasa: Fani ya Uandishi wa Habari ipo ICU kwa sasa na Nasikitika Wahusika tumenyamaza tu, huku ikienda Kufa kabisa

Betty Mkwasa: Fani ya Uandishi wa Habari ipo ICU kwa sasa na Nasikitika Wahusika tumenyamaza tu, huku ikienda Kufa kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Siku hizi Mtu akiwa tu ni Maarufu, Mchekeshaji, Msanii au Mbwabwaji Mitandaoni basi haraka sana anakuwa Mtangazi wa Redio na Tv. Naumia sana kuona hii Fani yenye Heshima kubwa duniani kote sasa hapa Tanzania ikiwa ipo ICU na Siku si nyingi inaenda Kufa kabisa. Sikatai ujio wa Teknolojia kwani hilo ni Jambo jema ila pamoja na Teknolojia lakini ile Misingi Mama ya Utangazaji / Uandishi wa Habari haijabadilika na wala haitokuja Kubadilika. Na kinachonisikitisha zaidi Sisi ambao ndiyo Wahusika tumenyamaza na wala hatuhoji hivyo kuendelea tu kuruhusu Upuuzi na Ukiukwaji mkubwa wa Kimaadili kuendelea kuwepo", amesema Mtangazaji Mkongwe, Mshindi wa Kike wa Afrika wa Tuzo ya Uandishi wa Habari za Ukimwi na Mweledi wa Tasnia Elizabeth ( Betty ) Mkwasa alipokuwa akizungumza na TBC1 katika Miaka 73 ya Utangazaji Tanzania.

GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?
 
"Siku hizi Mtu akiwa tu ni Maarufu, Mchekeshaji, Msanii au Mbwabwaji Mitandaoni basi haraka sana anakuwa Mtangazi wa Redio na Tv. Naumia sana kuona hii Fani yenye Heshima kubwa duniani kote sasa hapa Tanzania ikiwa ipo ICU na Siku si nyingi inaenda Kufa kabisa. Sikatai ujio wa Teknolojia kwani hilo ni Jambo jema ila pamoja na Teknolojia lakini ile Misingi Mama ya Utangazaji / Uandishi wa Habari haijabadilika na wala haitokuja Kubadilika. Na kinachonisikitisha zaidi Sisi ambao ndiyo Wahusika tumenyamaza na wala hatuhoji hivyo kuendelea tu kuruhusu Upuuzi na Ukiukwaji mkubwa wa Kimaadili kuendelea kuwepo", amesema Mtangazaji Mkongwe, Mshindi wa Kike wa Afrika wa Tuzo ya Uandishi wa Habari za Ukimwi na Mweledi wa Tasnia Elizabeth ( Betty ) Mkwasa alipokuwa akizungumza na TBC1 katika Miaka 73 ya Utangazaji Tanzania.

GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?
Asante sana kwa bandiko. Mwenye masikio na asikie. Wengi tulishaliona hili siku nyingi tangu kina Amina Chifupa (RIP) walipopewa mic za studio. Tukasema jamani utangazaji siyo sura wala umaarufu. Mambo yakazidi kuwa mabaya. Mara tukasikia mpaka kina Zembwela wamewekwa studio. Mara wazungumza kama cherehani kina Kitenge nao studio. Yaani Mkwasa kamaliza yote. Ukijua tu kupayuka au kuchekesha (wachekeshaji wengi wa bongo wanakasirisha badala ya kuchekesha) au sura nzuri unawekwa studio. Ndiyo maana tumekuwa na taifa lenye vijana hovyo kabisa.
 
"Siku hizi Mtu akiwa tu ni Maarufu, Mchekeshaji, Msanii au Mbwabwaji Mitandaoni basi haraka sana anakuwa Mtangazi wa Redio na Tv. Naumia sana kuona hii Fani yenye Heshima kubwa duniani kote sasa hapa Tanzania ikiwa ipo ICU na Siku si nyingi inaenda Kufa kabisa. Sikatai ujio wa Teknolojia kwani hilo ni Jambo jema ila pamoja na Teknolojia lakini ile Misingi Mama ya Utangazaji / Uandishi wa Habari haijabadilika na wala haitokuja Kubadilika. Na kinachonisikitisha zaidi Sisi ambao ndiyo Wahusika tumenyamaza na wala hatuhoji hivyo kuendelea tu kuruhusu Upuuzi na Ukiukwaji mkubwa wa Kimaadili kuendelea kuwepo", amesema Mtangazaji Mkongwe, Mshindi wa Kike wa Afrika wa Tuzo ya Uandishi wa Habari za Ukimwi na Mweledi wa Tasnia Elizabeth ( Betty ) Mkwasa alipokuwa akizungumza na TBC1 katika Miaka 73 ya Utangazaji Tanzania.

GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?
Kawe vipi tumetulia? Zile frem za wajeda alijenga Nani?
 
Asante sana kwa bandiko. Mwenye masikio na asikie. Wengi tulishaliona hili siku nyingi tangu kina Amina Chifupa (RIP) walipopewa mic za studio. Tukasema jamani utangazaji siyo sura wala umaarufu. Mambo yakazidi kuwa mabaya. Mara tukasikia mpaka kina Zembwela wamewekwa studio. Mara wazungumza kama cherehani kina Kitenge nao studio. Yaani Mkwasa kamaliza yote. Ukijua tu kupayuka au kuchekesha (wachekeshaji wengi wa bongo wanakasirisha badala ya kuchekesha) au sura nzuri unawekwa studio. Ndiyo maana tumekuwa na taifa lenye vijana hovyo kabisa.
Hata Mimi nimekubaliana nae Betty Mkwasa kwa 100% Mkuu.
 
Mkuu chakula kinatolewa kulingana na aina ya walaji , watangazaji hawa inatoa picha ya aina ya wasikilizaji iliyopo kwa wingi.
kuna classmates zangu wawili ni watangazaji wakubwa tu ila kwa nilivyowajua nimeshangaa wamepataje nafasi hiyo na kuwa maarufu kiasi hicho.
 
Kawe vipi tumetulia? Zile frem za wajeda alijenga Nani?
Maswali ya Kikuda na Kinafiki siyahitaji tafadhali sawa? Kawe nilihama tokea tarehe 18 February, 2024 na kuhamia Mapinga jirani kabisa na Marafiki zangu wa Kikosi Maalum Kiharaka na pia kuanzia tarehe 10 April, 2024 hadi leo hii ( hivi sasa ) nipo zangu Kampala Uganda hadi mwaka 2026 japo naweza kuendelea kuwepo hadi 2028 kama CDF Jenerali Muhoozi atakuwa Rais wa Uganda au Baba yake ataendelea hadi mwaka 2031.
 
Mkuu chakula kinatolewa kulingana na aina ya walaji , watangazaji hawa inatoa picha ya aina ya wasikilizaji iliyopo kwa wingi.
kuna classmates zangu wawili ni watangazaji wakubwa tu ila kwa nilivyowajua nimeshangaa wamepataje nafasi hiyo na kuwa maarufu kiasi hicho.
Kwanini usiwataje tu ili Mzee wa Kuwachana Watu na kuwapa Makavu yao Live niwanyooshe na wabadilike upesi Mkuu?
 
Back
Top Bottom