Kiukweli ukiacha ITV na TBC (wanaboa tu kwa kuwa na bias hawa ukiwa unatizama taarifa ya Habari usitegemee jambo lolote tofauti na mambo ya CCM na Serikali)lakini kidogo wanajitahidi mtu unaweza kuvutiwa lakini kuna hawa madogo kina Sijui Mwinyijaku na kina zembewela kiukweli wanaganga njaa tu na ninamuunga mkono Mama Mkwasa ni wakati sasa lifanyike zoezi la uhakiki ili watu wenye sifa tu ndio wahudumu kwenye Tasnia husika,Jambo hili ni sambamba na wachungaji wote makanjanja au matapeli nao WachujweYupo sahihi kabisa Betty, ndio maana hata habari za redioni na TV wengine sasa hawana muda nazo.
Inaonekana jiwe alimuomba akapigwa chini. Naskia ndo zilikuwa zake hizo.Huyu dada alipewa ukuu wa wilaya kabla ya jiwe kumuweka benchi. 🍡 mpeni
Wanaongea ongea tu hawatangazi chochoteZembwela nae mtangazaji?
Nyakati zinabadilika kama una Akili timamu huwezi kushangaa mabadiliko katika nyanja yoyote mfano muziki wa bendi miaka ya 2000 versus bongo flava 2020 muziki wa bendi ulikuwa una mpangilio mzuri wa vyombo, sauti na ujumbe ulikuwa wa kuelimisha lakini nyakati zimebadilika muziki wa bandi upo icu watu tunabang na kino Chinno man."Siku hizi Mtu akiwa tu ni Maarufu, Mchekeshaji, Msanii au Mbwabwaji Mitandaoni basi haraka sana anakuwa Mtangazi wa Redio na Tv. Naumia sana kuona hii Fani yenye Heshima kubwa duniani kote sasa hapa Tanzania ikiwa ipo ICU na Siku si nyingi inaenda Kufa kabisa. Sikatai ujio wa Teknolojia kwani hilo ni Jambo jema ila pamoja na Teknolojia lakini ile Misingi Mama ya Utangazaji / Uandishi wa Habari haijabadilika na wala haitokuja Kubadilika. Na kinachonisikitisha zaidi Sisi ambao ndiyo Wahusika tumenyamaza na wala hatuhoji hivyo kuendelea tu kuruhusu Upuuzi na Ukiukwaji mkubwa wa Kimaadili kuendelea kuwepo", amesema Mtangazaji Mkongwe, Mshindi wa Kike wa Afrika wa Tuzo ya Uandishi wa Habari za Ukimwi na Mweledi wa Tasnia Elizabeth ( Betty ) Mkwasa alipokuwa akizungumza na TBC1 katika Miaka 73 ya Utangazaji Tanzania.
GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?
Kwahiyo aliwe na Wawili wote waliokuwa Baharini Palace? Mtoro wa Saigoni alimwambia amchomolee Mwamba wa COET Mlimani kwakuwa Yeye ndiyo alikuwa akimaliza Shughuli.Inaonekana jiwe alimuomba akapigwa chini. Naskia ndo zilikuwa zake hizo.
Oya dogo fungua hiyo codeKwahiyo aliwe na Wawili wote waliokuwa Baharini Palace? Mtoro wa Saigoni alimwambia amchomolee Mwamba wa COET Mlimani kwakuwa Yeye ndiyo alikuwa akimaliza Shughuli.
Sitaki niulizwe Swali lolote katika hili tafadhali.
COVID-19 ilisahau nini kuondoka mazima nawe ili wenye Akili Kubwa na Timamu tu pekee tubakie Tanzania?Nyakati zinabadilika kama una Akili timamu huwezi kushangaa mabadiliko katika nyanja yoyote mfano muziki wa bendi miaka ya 2000 versus bongo flava 2020 muziki wa bendi ulikuwa una mpangilio mzuri wa vyombo, sauti na ujumbe ulikuwa wa kuelimisha lakini nyakati zimebadilika muziki wa bandi upo icu watu tunabang na kino Chinno man.
Wewe, Betty na wenzako mkubali nyakati zimebadilika hiking ni kozazi Cha millennials and gen z Kuna namna yao ya kuyaendea mambo
Niifungue mara ngapi hapo Mkuu? Saigon Boy versus COET Boy hujaelewa nini hapo?Oya dogo fungua hiyo code
Rubbish🚮COVID-19 ilisahau nini kuondoka mazima nawe ili wenye Akili Kubwa na Timamu tu pekee tubakie Tanzania?
101%Yupo sahihi
Hovyoooooo.....!!Rubbish🚮