Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Mweeeh hko kichupiii cha B..haha
Mweeeh hko kichupiii cha B..haha
Aisee nyimbo ni nzuri halafu ana mitego huyu lol alivyokua anajibinua lazima uhonge hata Nchi ya Kikwete wallahhh
Mitego hatare.
Ila hivi hili ndo wowowo analisifiwaga nalo?
Mbona mi langu sio kubwa kivile ila nimemzidi lol
hako kachupi angevaa wema naamini humu ndani watu wangefunguka balaa,tena kidharau dharau zaidi,lkn lady b na pongezi anapewa.
ona mumewe alivyovaa vizuri,wanawake tunapenda kujidharirisha wenyewe,ndo biashara gani sasa hiyo.