Hahaha...hata hayo yakitokea kwa Mungu-mtu Beyonce haitakuwa ni jambo jipya,yeye hatokuwa wa kwanza maana yalishawahi kutokea.Kwahiyo siku akivaa yale mavazi yake ya nusu uchi hao wafuasi wake hua hawaoni aibu mungu wao kukaa uchi?
Ina maana siku akifa na dini yake nayo ndio itakufa?
Siku akipigwa na mume wake ambaye ni Jay zee wafuasi wake watakubali kweli mungu wao kupigwa?
Ahahahahaa! teh! teh!
Ni kweli mkuu Mungu hataniwi..Sooon atapotea tuu
siku za mwisho ni kashesheKiukweli hizi ni zama za mwisho..View attachment 782160
Lusekelo ndio nani mkuu?Kama unajua Lusekelo ni sawa na huyu.. Huoni wote wezi tu.
Hakuna Mungu'mtu wanapoteza muda tu woote wanaocheza michezo hii.. na imani ndogo huyumbishwa sana na Watu hawa.
Wewe unaamini vitabu vya kikristu na kiislamu? Unazani wachina hawana wanachoabudu? Wahindu Je? Wajapan? Tuache kujifunga kifikra tuhoji hizo dini mbili zinashindana kutawala dunia hazina kingineNdugu Unajua maana ya Kuabudiwa Au Kusujudiwa??
Haina uhusiano na kuanzisha Kanisa.
Punguza nguvu.. Akili itakusaidia zaidi.
Aliyekwambia dhambi ipo Afrika tu CHINA hakuna ni nani??!Wewe unaamini vitabu vya kikristu na kiislamu? Unazani wachina hawana wanachoabudu? Wahindu Je? Wajapan? Tuache kujifunga kifikra tuhoji hizo dini mbili zinashindana kutawala dunia hazina kingine
Inasikiitisha. Hatuombei hilo kwani anao muda wa kurekebisha akipata mtu wa kumsaidia na kumwonya.Mwanamuziki mmoja huko huko alifariki dunia baada tu ya kuigiza sinema moja kama malkia wa Shetani. Aliitwa A****H.Sooon atapotea tuu