Wote, lakini kila mtu ana mambo yake, rihana anaonekana ana mashamushamu sana mkiwa gheto, beyonce namuona kama yupo kisista duu zaidi, huwa wanaboa mkiwa kwenye malavidavi.
Ma'swagga, husiniangushe bana, sema tu wewe unavyowaona, hata nyie wanaume hamtajua mautamu yao, hila muonekano tu nani mkare.