Beyonce Was a Virgin Before Meeting Jay-Z

Nani amekwambia mwanaume akikukuta na bikra ndio atadumu na wewe?

hebu waeleze hao kama ingekuwa ndio anakuthamini kiasi hicho mbona Jay-Z mwenyewe alienda zaa na mwanamke mwingine wakati yuko nae,kwanza uzushi kuna kijamaa kilikuwa kinagonga kabla yake kikamtema.
 
Humu mnadiskasi nini ati bikra.....narudi:car::car:
 
hebu waeleze hao kama ingekuwa ndio anakuthamini kiasi hicho mbona Jay-Z mwenyewe alienda zaa na mwanamke mwingine wakati yuko nae,kwanza uzushi kuna kijamaa kilikuwa kinagonga kabla yake kikamtema.

Mambo yote CHUNGWA bwana, MACHENZA hayana lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…