Beyonce writes a letter thanking Michelle Obama for being a role model

Huyu anatafuta kujipendekeza, role model ni mtu umekuwa and has insipered you to who are, sasa huyu Mrs Obama kashika kazi Beyonce tayari ameshazoea kukaa nusu uchi stejini, sasa iko wapi hiyo impact. Na mpaka sasa sijaona anything i can relate with Mrs Obama except the skin color, maybe in another life!

Yeah she is good woman but that is suppose to do as First Lady....mere housewife but in a big picture
 
Americans, especially educated Americans of "good stock", are obsessed with thank you letters.

Unaenda kwenye ki-birthday cha mtoto mdogo tu, baada ya wiki moja au mbili unaandikiwa a "thank you" letter.

And Beyonce, even in her diss song, touts her presumably Christian middle class upbringing and values, never mind the oversexualized image that totally contradicts the same values.

So I am not surprised at all.

Both Michelle and Beyonce are overrated.
 
embu niambie sababu basi labda nimekuelewa vibaya

Beyonce anasifika kuwa na curvy hips...na kutokana na utafiti uliofanywa na baadhi ya wanasayansi huko US, wanawake wenye hips kubwa na za mviringo ni werevu kuliko wale wasio nazo...kwa mantiki hiyo kwa utani ndio maana nikafananisha uzuri wa mwandiko wake na uwepo wa curvy hips kwenye mwili wake...hence she might be good upstairs!!

Soma hapa: https://www.jamiiforums.com/mahusia...aidi-kuliko-wasio-na-hips-12.html#post7097494
 

Hapa kuna ujumbe maalum uwaendee hawa wanawake wetu maana wakipata ka kazi kadogo tu hawataki majukumu yao

Hovyo kabisa hawa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Anzeni kuandika hapa hizo barua kwa Mama Salma

Mimi naanza mstari wa kwanza:

Mpendwa Mama Salma
Salaam
Baada ya salaam utakapokujua hali yangu mimi ni mzima wa afya,hofu kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. BADILI TABIA endelea..............................
 
Last edited by a moderator:
Ana mwandiko mzuriii...which means hata upstairs yupo njema...kweli hips don't lie

Nani yupo njema upstairs? Beyonce..? Usiseme hivyo mbele ya Wendy Williams coz she might slap the taste out your mouth.

 
Last edited by a moderator:
I do love this family from deep inside my mtima wange!
 
Beyonce ana mwandiko mzuri, signature yake pia ni kali sana tu, message yake pia imekaa vizuri.
 
Yaan mie sipati kusema.. make nikisema ntakuwa muongo.. Nshakumiss mpaka baaaaaaaaaas!!!!!!
Nicas Mtei alinipiga marufuku kuja mwanza eti nitakuona na nitakupenda bure wakati hajui kuwa tunapendana toka enzi hizo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…