mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Huyo Solange ni kichaa.
Acha apigwe tu, we umeoa dada mtu kutwa kuzunguka na shemeji kwenye ma concert tu kwani ameoa hao mabinti wote wa knowles?? Kama ni kusaidia sawa we unazunguka na lijitu lizima wamuache na yeye atafute wake. Hizi mambo kazitaka Jay Z mwenyewe acha mkute
