Huyo Solange ni kichaa.
Mwanaume halisi hampigi mwanamke...
Kweli kabisa mwanaume wa Kweli aliekamilika na mwenye busara hawez kumpiga mwanamkee
Kweli kabisa mwanaume wa Kweli aliekamilika na mwenye busara hawez kumpiga mwanamkee
Kweli kabisa mwanaume wa Kweli aliekamilika na mwenye busara hawez kumpiga mwanamkee
mi nikishakula viroba vyangu akizingua anakula vitasa tu
Je! Mwanamke wa kweli aliekamilika na mwenye busara anaweza kumpiga mwanaume?
Kwa kitendo alichokifanya huyo shemeji lazima angejuta kuzaliwa aisee
Mwanaume halisi hampigi mwanamke...
Kumbe unaishi Marekani mkuu!!
First Off....if all possible never hit a lady...
Jay played it cool na hii ni nzuri kwa image yake...mwisho wa siku Solange ataonekana ni mwehu na ninavyoijua America she will go all the way down kwa hii ishu hata kama atakuja kuomba msamaha(japo sina hakika coz anaonekana ni mtu mwenye kiburi) badae bado haitasaidia inawezekana akaiua 'karia' yake kabisa.
Alafu B nae anacheki tu!,hata kumsaidia mume wake?!....and Jay he was like why are you standing there and watch this pyscho beat me?!...do somethin' for lucifer's sake!!lol
#BringBackOurSisters
Kweli kabisa mwanaume wa Kweli aliekamilika na mwenye busara hawez kumpiga mwanamkee