Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

hhii ndio picha halisi ya wanawake wa kitz kama mnabisha nendeni kinondoni au buguruni usiku
 
hhii ndio picha halisi ya wanawake wa kitz kama mnabisha nendeni kinondoni au buguruni usiku

......Kwani wanawake wanafanya peke yao? Si kuna wanaume kama wewe wanaoenda kuwafuata hao wanawake.........kwa hiyo nayo picha halisi ya wanaume wa kibongo kulala na changudoa.
 
hhii ndio picha halisi ya wanawake wa kitz kama mnabisha nendeni kinondoni au buguruni usiku

Nakubaliana na wewe Ivuga na naamini wengi wanaotetea kitendo hiki ni wanawake wenzake ambao wanaona sio kitu kufanyiwa mambo kama aliyofanyiwa Bhoke.

Ngoja niwatafutieni picha ambayo washiriki wenzao wamewaweka Kitimoto Bhoke na Ernest kuwahoji kwanini wamefanya mapenzi mahala pale na kamera kuwanasa. Hii ilikuwa jumamosi usiku saa saba hivi na Bhoke alikuwa amelewa Chakari.

Jumapili usiku baada ya kuwa tayari ana fahamu zake Bhoke alikataa kulala kitanda kimoja na Ernest na ndipo Ernest akamuuliza kwanini J'mosi alimpa na sasa anakataa kulala naye tu, Bhoke akajibu jumamosi alimpa sababu ya pombe hakuwa yeye.

Sasa tuendelee kuwatetea dada zetu kwa amani lakini hana tofauti na wale wa Buguruni usiku au Sinza pale Afrika sana.
 
Yeah!!! Yatatokea mengi tu maana watachoka.

Leo kweny nomination mtanzania lutos kam-nominate Bhoke for eviction next wk, eti 'tupo wawil na hata hivyo si rafiki yangu' mhhh hakuna uzalendo kwenye pesa kweli

Uda'a kwa taarifa yako Lotus amepiga kura ili mtanzania mwenzake atoke kwasababu wanachangia mwanaume mmoja na huyo Bhoke ndie aliyeingilia penzi la Lotus na Ernest kwahiyo Lotus kapiga kura ya chuki kwa mtanzania mwenzake.

Angalia link hii chini uone Lotus anamhoji Ernest baada ya kuwa amefanya mapenzi na Bhoke sasa achague moja kama ni huyo Bhoke ama ni yeye Lotus. Wengine tunaendelea kuteta kwamba huo ni mchezo, haya waacha dada zetu wachezewe ndo mchezo
.

Big Brother Africa 6 » Lotus: Me or Bhoke?
 
Its obvious she couldn't afford to ignore all the attention showered her by that dude, because she's just plain ugly (Like most girls from that part of the country she hails from.) and couldn't get laid in real life.
 
......Kwani wanawake wanafanya peke yao? Si kuna wanaume kama wewe wanaoenda kuwafuata hao wanawake.........kwa hiyo nayo picha halisi ya wanaume wa kibongo kulala na changudoa.
bibie tunaongelea BBA ya sasa ivi inayoendelea kule bondeni,kile hakuna mwanaume mtz- kifupi bhoke ni CD
 
Sasa tuendelee kuwatetea dada zetu kwa amani lakini hana tofauti na wale wa buguruni usiku au sinza pale afrika sana.
na hakuna mtu anayeweza kututhibittishia kuwa huyu mdada sio member wa hii mitaa, kwa sababu uchangu sio njaa tu, huyu anadai alikuwa amelewa sasa unaweza kukuta akilewaga pombe zake humtuma aennde buguruni au pale africa sana , nana anabisha??
 
haujaona mkono mmoja wa jamaa mahali ulipo?? Jamaa kazamisha mkono wote kunako, afu yeye katulia tulii dada yetu ndio anatapa tapa. What a shame.
sio dada yetu ni dada yao hao waliomchagua, tuwe tunaheshiana jaamani humu ndani, huyu mdada kwani tulimpigia kura? Waliteuana huko na waliomteua ndio dada yao
 
Kama nyie kaka wa ki TZ hamkuwapenda acheni wajaribu humo bba yewii wawe Elizabeth style
 
Kwa Bhoke kuliwa mzigo wala hii haina maswali na wala sija shtuka kiviiile ........ila kitu ni hii ya huyu mtoto Lutus aaagghh kudadadeeek the way she know to suck aaaaaaaahhh!! .........mtoto Lutus alikua ananyonya mate kwa hisia hadi niliccmka hadharani.any way let them use vipapa vyao bana labda vitawatoa.
 
sio dada yetu ni dada yao hao waliomchagua, tuwe tunaheshiana jaamani humu ndani, huyu mdada kwani tulimpigia kura? Waliteuana huko na waliomteua ndio dada yao

Mkuu umenichekesha sana unamkana kavukavu hahahahaaaaaa.......
 
Wamepima TB ??( TB ni dalili ya ngoma khe khe khe..). One thing for sure the girl is ugly sura kaa soli ya kandambili ya mgogo. Pun very much intended.
 
Huyu wa kwene jaccuzi ndio inaonekana ana ukame kabisa, anaonesha ana-score kudadadadeki hapo. Ningekuepo nashare hiyo nyumba nisingetumia tena hilo jaccuzi mpaka limesafishwa kwa kutumia conc sulphuric acid.
 
Wamepima TB ??( TB ni dalili ya ngoma khe khe khe..). One thing for sure the girl is ugly sura kaa soli ya kandambili ya mgogo. Pun very much intended.
Mmhhh
wewe jamani
acha kumkandia basi mmhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…