Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Huyu wa kwene jaccuzi ndio inaonekana ana ukame kabisa, anaonesha ana-score kudadadadeki hapo. Ningekuepo nashare hiyo nyumba nisingetumia tena hilo jaccuzi mpaka limesafishwa kwa kutumia conc sulphuric acid.

..........

Dead
 
sio dada yetu ni dada yao hao waliomchagua, tuwe tunaheshiana jaamani humu ndani, huyu mdada kwani tulimpigia kura? Waliteuana huko na waliomteua ndio dada yao

ivuga naona umeumia sana,pole kaka angu,kiukweli inafedhehesha sana japo watu wengine wanadai eti ni game but oops no,hii imepitiliza,ni kinyaa.
 
bibie tunaongelea BBA ya sasa ivi inayoendelea kule bondeni,kile hakuna mwanaume mtz- kifupi bhoke ni CD
Basi huu utakuwa ugonjwa wa watz wote..nakumbuka kipindi kile Richard alifanya madhambi sana na kusahau kabisa familia yake, mara kumi ya Bhoke..so sishangai we ivuga ungefika huko ungefanya utumbo zaidi
 
Huyu wa kwene jaccuzi ndio inaonekana ana ukame kabisa, anaonesha ana-score kudadadadeki hapo. Ningekuepo nashare hiyo nyumba nisingetumia tena hilo jaccuzi mpaka limesafishwa kwa kutumia conc sulphuric acid.

hhahaha hahahaha! Bytheway,kila mtu ana strategies zake za kuutafuta ushindi! Tusishangae sana, ndio game linavyoenda!
 
Huyu wa kwene jaccuzi ndio inaonekana ana ukame kabisa, anaonesha ana-score kudadadadeki hapo. Ningekuepo nashare hiyo nyumba nisingetumia tena hilo jaccuzi mpaka limesafishwa kwa kutumia conc sulphuric acid.
Umeshakuwa mtu mzima wewe....acha kujisifia ushababi wa ngono.....ona aibu
 
hhii ndio picha halisi ya wanawake wa kitz kama mnabisha nendeni kinondoni au buguruni usiku

unavyosema hivyo unamaanisha nini?picha ya wanawake tz,plz tutake radhi wanawake wote tz including ur special mom,if u have nothng 2 say u beta kip quet.
 
Hivi BBA ili uwe mshindi lazima ufanye ngono? nafikiri wabunge walikuwa sahihi kumkataa RICHARD kwenda bungeni kuwa mshindi. Huu ni udhalilishaji sioni tofauti na PONO! nafikiri sasa PONO is imealalishwa kimtindo.
 
Hapo hakuna kissing game walikuwa wanaliwa kabis.... unajua siku hizi wadada wamekuwa warahisi sana kuliwa hasa wakiishapata 1 moto 1 baridi basi wanasahau hata utu wao... Kwenye jacuzz kwa chini kunaendelea mambo wandugu tusidanganyane.. Lotus aliona soo kwa hivyo akajifanya kukiss kila mtu ila kuondoa soo.... Idiot
 
unavyosema hivyo unamaanisha nini?picha ya wanawake tz,plz tutake radhi wanawake wote tz including ur special mom,if u have nothng 2 say u beta kip quet.

Yaani Evj mimi mwenyewe sijamuelewa mpaka dakika hii, sijui anamaanisha au limemponyoka!
 
let us not judge them jaman,
Ni kweli mkuu!

Vijana wako kazini!
1st they had a dream be there!

2nd they search for it!

3rd they now daring to do it

4th and last let us wait and see with our little eyes what this man with big eye has in store for them.
 
Kufanya mapenzi nini ninyi??? mbona miye sioni hapo.... fondling and passionate kiss is not kufanya mapenzi, well according to my 2011 version of intimacy dictionary!! Toleo lipi hilo nyie mwatumia????
Ya mwaka 47 kurudi nyuma!!!

Waacheni wafanye madudu yao maana hata mkisema hawatawasikiliza....mwisho wa siku hasara itakua juu yao na sio Tanzania!!
 

Ohhhhh nimekuelewa Bibikuku, mi nlichokuwa napinga ni ile ya jaccuz kama walishamalizana tena mhhhh basi kaazi kweli kweli.

Hawa wanadhan kufanya uchafu ndo kuvutia duhhh, nimeshaona mkaka wa Kenya Nic, akiwa na wadada tofauti 4 pamoja na Lotus na Bhoke pia duhhh kila mmoja kwa nafasi yake huku wakijificha kwa wengine ila camera zinawaona,

Ngoja tuwaache wajiuze wadada wetu mhh, ndo maana mi napenda sana mtanzania akitoka mapema kama anafanya madudu kuliko kuendelea kutudhalilisha.
 
Feelings will always be felt. It only needs enough time of contact!!
 
Yaani Evj mimi mwenyewe sijamuelewa mpaka dakika hii, sijui anamaanisha au limemponyoka!
Hii ndio reflaction ya wanawake wa kibongo......kupenda umaarufu kwa kugombea uume....most mashori bongo ndivyo walivyo......hata msijifanye kusikitika.....ndivyo mlivyo..
 
Pk
watanzania ni shamba na umalaya uko kwennye damu wanapopata sehemu kama hiyo wanajua wakifanya upuuzi wanakuwa na jina dunia nzima hao wakiwataka hata wanapotaka wanatoa niwachafu watupu hizi freemassons enter zitatuua na njaa zetu jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…