Huyu wa kwene jaccuzi ndio inaonekana ana ukame kabisa, anaonesha ana-score kudadadadeki hapo. Ningekuepo nashare hiyo nyumba nisingetumia tena hilo jaccuzi mpaka limesafishwa kwa kutumia conc sulphuric acid.
sio dada yetu ni dada yao hao waliomchagua, tuwe tunaheshiana jaamani humu ndani, huyu mdada kwani tulimpigia kura? Waliteuana huko na waliomteua ndio dada yao
Basi huu utakuwa ugonjwa wa watz wote..nakumbuka kipindi kile Richard alifanya madhambi sana na kusahau kabisa familia yake, mara kumi ya Bhoke..so sishangai we ivuga ungefika huko ungefanya utumbo zaidibibie tunaongelea BBA ya sasa ivi inayoendelea kule bondeni,kile hakuna mwanaume mtz- kifupi bhoke ni CD
Huyu wa kwene jaccuzi ndio inaonekana ana ukame kabisa, anaonesha ana-score kudadadadeki hapo. Ningekuepo nashare hiyo nyumba nisingetumia tena hilo jaccuzi mpaka limesafishwa kwa kutumia conc sulphuric acid.
Umeshakuwa mtu mzima wewe....acha kujisifia ushababi wa ngono.....ona aibuHuyu wa kwene jaccuzi ndio inaonekana ana ukame kabisa, anaonesha ana-score kudadadadeki hapo. Ningekuepo nashare hiyo nyumba nisingetumia tena hilo jaccuzi mpaka limesafishwa kwa kutumia conc sulphuric acid.
hhii ndio picha halisi ya wanawake wa kitz kama mnabisha nendeni kinondoni au buguruni usiku
unavyosema hivyo unamaanisha nini?picha ya wanawake tz,plz tutake radhi wanawake wote tz including ur special mom,if u have nothng 2 say u beta kip quet.
Naona uko bize kutafuta bwana eeh?Umeshakuwa mtu mzima wewe....acha kujisifia ushababi wa ngono.....ona aibu
Ni kweli mkuu!let us not judge them jaman,
Ya mwaka 47 kurudi nyuma!!!Kufanya mapenzi nini ninyi??? mbona miye sioni hapo.... fondling and passionate kiss is not kufanya mapenzi, well according to my 2011 version of intimacy dictionary!! Toleo lipi hilo nyie mwatumia????
Uda'a kwa taarifa yako Lotus amepiga kura ili mtanzania mwenzake atoke kwasababu wanachangia mwanaume mmoja na huyo Bhoke ndie aliyeingilia penzi la Lotus na Ernest kwahiyo Lotus kapiga kura ya chuki kwa mtanzania mwenzake.
Angalia link hii chini uone Lotus anamhoji Ernest baada ya kuwa amefanya mapenzi na Bhoke sasa achague moja kama ni huyo Bhoke ama ni yeye Lotus. Wengine tunaendelea kuteta kwamba huo ni mchezo, haya waacha dada zetu wachezewe ndo mchezo.
Big Brother Africa 6 » Lotus: Me or Bhoke?
jamani hebu angalieni uchafu wanaofanya watanzania wetu huko BBA. Link ya kwanza ni Bhoke akifanya mapenzi katika Jacuzi na ya pili ni mwenza Lotus akilipiza kwa mwanamume yuleyule.
http://bigbrotherafrica.com/2011/05/15/bhoke-and-ernest-get-steamy/
Big Brother Africa 6 » Lotus and Ernest Kiss!
Huyu alikuwa na stimu za kufa mtu haja jiexpress siku nyingi si umeona anampelekea kwa nyuma jamaa
ha ha ha ha ha ha nimekusoma kiongozi.
Hii ndio reflaction ya wanawake wa kibongo......kupenda umaarufu kwa kugombea uume....most mashori bongo ndivyo walivyo......hata msijifanye kusikitika.....ndivyo mlivyo..Yaani Evj mimi mwenyewe sijamuelewa mpaka dakika hii, sijui anamaanisha au limemponyoka!