Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

labda ana-talanta ya kuwa porn star, alikuwa anajitangaza kwa potential investor....
Kweli huenda watengeneza filam za porn huenda wamemuweka katika listi ya wanaofaa kufanya nao biashara!
 
Wote wawili hawakuwa na mvuto kabisa tunaomba mnaochagua muwe makini kipindi kijacho..
Naona mnazunguka tu.hili shindano halina faida kwa taifa,mtu anapokuwa mle tz ndo inatajwa na utz wake ndo dunia nzima unaangalia.tunadhalilika mno.ebu fikiria hata wazazi na kaka mtu walipokuwa wanashuhudia ndugu yao akiwa faraghani anakuwa ktk hali gani! Kweli huu ni utandawazi lakin lazima tujiwekee misingi kama nchi.upo umuhimu wa kuanza harakati hili shindano mtz asishiriki.faida anayotaka kupata mtu kwa kudhalilisha nchi ni upuuzi no justification.jamani pale watu wanawakilisha nchi zao na si mtu binafsi na lazima tusimamie maadili yetu bila kuangalia wengine.that is totally completely nonsense hata kama bhoke hakufanya mapenzi lakini alifanya jambo la ajabu sana hata kama hana wazazi aheshimu watz waliokuwa wanatazama.wote wanaomtetea wahoji nafsi zao maana kila mtu ana dhambi lakini ndo tuhalalishe upuuzi kisa wote si wasafi? Aaaaargh!
 
vita si ufisadi tu na udhalilishaji wa taifa kama huu haikubaliki! Sheria za maadili kwenye katiba mpya ni muhimu sana tena uwe mpana hadi upuuzi kama huu
 
Kweli huenda watengeneza filam za porn huenda wamemuweka katika listi ya wanaofaa kufanya nao biashara!
Nashangaa waziri mwenye dhamana na mambo ya utamaduni haja toa tamko kwa mwenendo wa shindano hili linalooneshwa na tv zetu na washiriki wakiingia kwa uwakilishi maalum wa nchi zao! Walifutilie mbali huu ujinga.
 
Jamani mbona mnamuone donge dada wa watu ndo keshatoka hivyo anajulikana atapata mikataba minono hivi punde nyie mtabaki mnaungua na jua tu mlieeeee!!!:mwaaah::mwaaah::mwaaah::mwaaah:
 
<br />
<br />


je wewe ungeweza mruhusu mkeo au mumeo akae hayo mapozi unayosema yalikua ni kukiss tuu, did you really see the scene?though m sure no sex was done but no man or woman on dis planet eartch wud b okay with seeing their partners in such kind of posses!unless something is not right in them!
 
Muonekano wake sivyo alivyo, yani akilewa huko bondeni kunachemka kama ugali walaah anasikia kupelekewa tu, shetani wake yuko bondeni heee heee.
 

Umesahau kuweka michezo kama kombolela,bao kibaba na mamana msita.
 

Heee wewe alikua haongei? wakati mwenzio alikua anajitahidi kuongea kama katoka marekani jana ooh, na domo lake zitoo yani katutia aibuuu.
 
Jamani mbona mnamuone donge dada wa watu ndo keshatoka hivyo anajulikana atapata mikataba minono hivi punde nyie mtabaki mnaungua na jua tu mlieeeee!!!:mwaaah::mwaaah::mwaaah::mwaaah:
Bora kuungua na jua heshima yako ibaki palepale, kuliko kujiabisha na kuaibisha jamii inayokuzunguka, wazazi na ndugu zako na heshima isiwepo kisa huungui na jua. wengi alikuja na wengi wapotelea mbali hamna kitu pale, mbona wenzie wanajiheshim inamaana TZ ndo tunaonekana maharage ya mbeya aaah.
 
maadili ye2 kama watanzania yanazidi kuwa mabaya kadri cku zinavosonga mbele!halafu wanajamii kwa maono yangu juu ya hii big brother africa kusema mshiriki anawakilisha nchi nakataa kabisa!pale anajiwakilisha yeye labda na familia yake so nchi ye2 isiingizwe ktk aibu za kipuuzi!2aibishwe na taifa starz sawa c huku kwenye bba!,hzo dola laki 2 hawa makaburu c bora wakatoa misaada bara le2 lina shida saana!.
 


Na ndio maana hawapewi bendera ya taifa
 


BBA inatumiwa kama indicator ya kujua world view, and social interaction among people of different cultures.
Kwa hiyo pale mtu ambaye hajawahi ku interact na mtanzania anapata picha ya haraka haraka kwa wanawake wa kitanzania wako hivi, belief zao, msimamo yao,nk
 
Mtazamo hasi wa mataifa juu ya tabia za uzao wa kike toka tanzania ndicho Bhoke na Lotus walichoenda kukoleza. Haipendezi kuinua juu hisia za tamaa ya mwili na hasira kupita bendera ya taifa lako.
 
Its a shame kwamba hawatajifunza kwasababu wakirudi tu makampuni ya bongo yatawatafuta nakuwapa mikataba minono kama alivyosema mchangiaji hapo juu.tz maadili yanaporomoka kila siku.sio kwamba sisi hatufanyi makosa ila sio kwenye international tv for everyone to see,lazima uiheshimu nchi na familia yako...bora wangetuma mwanaume tu.huyu anafanya madudu yule mwengine hana mvuto anafanana na shaba ranks
 
Jamani mbona mnamuone donge dada wa watu ndo keshatoka hivyo anajulikana atapata mikataba minono hivi punde nyie mtabaki mnaungua na jua tu mlieeeee!!!:mwaaah::mwaaah::mwaaah::mwaaah:
Kweli kupewa bendera ya taifa ndo uwakilishi rasmi lakini mantiki ya shindano tu inatoa tafsiri ya utaifa.wanaposhinda mpaka waziri anatuma pongezi! Tujiangalie upya kama taifa.binafsi ingawa simfahamu bhoke lakini utanzania wake mle ulifanya nimuone kama dada yetu akitudhalilisha,guest what to her real brothers and sister without to forget parents unafikiri pale walikenua meno! Upuuzi mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…