nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Lakini alikuwa mwakilishi wa nchi..otherwise isingekuwa ishu hapa maana kitumbua ni chake na hata hapa bongo akitaka anaweza kukitembeza tani yake, hamna atakayejali. Mtu anapowakilisha nchi manake anawakilisha interest ya nchi anakotoka hapa ndipo ishu ilipo. Kama angekuwa anajiwakilisha yeye kama yeye isingekuwa tatizo. Naamini serikali inabidi iingilie kati kwene mashindano yanayobomoa zaidi badala ya kujenga kama haya maana sielewi jamii hususan watoto na vijana wanaochipukia wanajifunza nini kutokana na mashindano kama haya. Jamii inaelekea kusiko kiukweli.wewe kinachokuuma ninini.?au ulikua unataka kuliwa ww..post mada za msing and acha ushakunaku wt othr pple life...pole
Masista duu wa kibongo wakitoka nje ya bongo wanakua km mazuzu? Latoya nae alienda kwa papara BBA washikaji wakamshonaa. Huyu Boke anamchumba tena aliezaa nae mtoto 1 (tetesi), ameenda ndani ya BBA akiwa ktk mahusiano, kamsaliti bf wake then katuaibisha wa tz, coz wkt alipoenda alikabidhiwa bendera bt leo anasema alikwenda yeye km yeye eti hakuwakilisha nchi!Alisikia raha sana nadhana anatamani arudi bba, vipi eatv watampa kazi kweli kwa huo ujinga tena. Jamaa yake wabongo atajisikiaje
We si ndie ulikua unalalamika kamegwa kwenye mjumba? Duh kumbe unainterests zako? Haya go on!Wadau mie nimemzimikia sana yule binti aliyekuwa BBA, Bhoke, kwani kaonesha uhalisia wake kamili kwa kuonesha akifanya ngono huku dunia nzima ikimtizama. Naomba ushauri wana JF.
Huyu binti hajatulia hata kidogo,kwani kungonoka live kwenye luninga kuna tofauiti ganik na kungonoka hadharani, tena kwa taarifa yake hiyo ni zaidi ya kungonoka kitaaniHuyu binti ni m***zi sana..embu ona alivyojitetea kwenye facebook account yake..... "What's the big deal? People were just making a lot of noise about the whole issue as if we were having sex on the street. BBA Amplified house is for adults and whoever cannot 'suck it' up should not even be watching." ....Kama dada zetu mtaendelea kwenda BBA na kufanya u***zi kama huu,basi mjue Tanzania itakuwa na sifa mbaya na inaweza kufika kipindi majirani zetu watakuwa wakiona mwanamke toka bongo wanajua cha kwanza kumpatia ni ka game ka ngono
nimesoma hizo comments baadhi ila nimegundua kuwa pamoja na bba kuwa live vile, si sehemu ya kuonyesha upumbavu wako. Big up kwa sahihi ya invisible. And Bhoke...u r a B.I.T.C.H on heat every passing sec. Tunatenda maovu ila si kwa uwazi kiasi hiki. Na pia pamoja na kufanya sirini huwa dhamira zetu zinatusuta kisha tunatubu kwa Mungu. Sasa huyu public sl.ut kakosa mbele za Mungu na jamii lakini hata dhamira haimsuti? Ni bhange tu za kwao. Shame!Bhoke Egina responds to sex with Ernest in BBA House - nigeriafilms.comKama yeye anajua ni watz pekee aliowaboa aje na asome hapa