The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Niliweka tent tokea Jumatano jana nilikuwa naangalia rehearsal ya mwisho jana halafu hii ya Wiliam kutumia pete ya marehemu mama yake kumvalisha Kate kama pete ya ndoa sijaelewa huu utamaduni ukojeumeweka tent na wewe hapo maana mie niko kituoni tangu asubuhi northern line full inapitiliza tu.
i can predict ndiye atakayekuwa housemate wa kwanza kuwa evicted....BBA ina viewers wengi ambao ni wanawake....i doubt kama watampa support,infact BBA needs less serious people,so to me sio pendekezo zuri kwa tz
Age 26
Hometown Dar es Salaam
Occupation TV Broadcaster
Biography Tune in on Sunday 1 May to get Bhokes full profile.
Show itaanza may 1.... Haya kazi ni kwetu kumpa support dada yetu!
Lazima watakuwa wame ipolish na kuongezea makito mengine hata mie sielewi hii huwa wanamaanisha nini wazungu, naonaga hata kwenye movieNiliweka tent tokea Jumatano jana nilikuwa naangalia rehearsal ya mwisho jana halafu hii ya Wiliam kutumia pete ya marehemu mama yake kumvalisha Kate kama pete ya ndoa sijaelewa huu utamaduni ukoje
Ni kweli huyu mimi nimeona profile yake nikasema sasa wamemchukua ila akafanye nini anaziba riziki za wenzake ila ndio hivyo naona this time wameamua kuchukua na CEO'S kutakuwa na vituko sana this time let wait and see
Wa wapi huyu jamani ni HB!! hatarJamani!!!!!!???????? yamy
Wa wapi huyu jamani ni HB!! hatar
kumbe wasichana si vijana? Nimejua leoWapenzi marafiki nimeona si vibaya ku share na nyinyi hii.Bhoke ndie anatuwakilisha bba. na wako wasichana saba vijana watano, mnafikiri kwa kuweka wasichana wengi itasaidia msichana kushinda?
Yaani we acha tu itakuwa hatari humo ndani kila demu atataka urafiki naeBB Huyu atakuwa wa Angola huyu mbona mtamu hivyooooo hahahaha
Ni msouth africa huyu, at least this time wameweka kitu cha kuelewekaWa wapi huyu jamani ni HB!! hatar
Mh ya mwisho nakumbuka ilikua 1981, we mwenzetu uliiona?Aaaagr mie sipendi harusi zinavyokuwa na format ileile huwa naboreka we unaenda?
Majira mengine ya kuchafua nafsi, roho, akili na miili yetu yamewadia. Big Bro = eating, foul languages, explicit sex, drinking, nuding, lewdness, pervertion, it is terrible. This is how we want to groom up the next generation, what a pervertion!
Huo mwaka ni zamani sana sikuiona ila haya marudio ya jana nimeona ilifurika sana watu duhMh ya mwisho nakumbuka ilikua 1981, we mwenzetu uliiona?
Na wewe jamani! mbona unanivunja mbavi mie, haya angalia hapo chini, ataweza ku compete na huyu wa kampala? Shanon, ni mwanamusicBoke, nadhani safari hii wameamua kupeleka aliyefanyiwa tohara ili kuliepusha taifa na aibu.
ataweza ku compete na huyu wa kampala? Shanon, ni mwanamusic