Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Hii ndio reflaction ya wanawake wa kibongo......kupenda umaarufu kwa kugombea uume....most mashori bongo ndivyo walivyo......hata msijifanye kusikitika.....ndivyo mlivyo..

Hao wanatekeleza sera ya CCM kuinua vipaji vya vijana.

Akikamata $200,000 mtaanza kumpapatikia tunawajua ngoja aauze tu utu wake
 
Hii ndio reflaction ya wanawake wa kibongo......kupenda umaarufu kwa kugombea uume....most mashori bongo ndivyo walivyo......hata msijifanye kusikitika.....ndivyo mlivyo..



Mhhhhhhhhhhhhhh, yo yo taratibuuu bas..
 
Ila anaonekana alikua na kiu kali sana aisee...

hivi kuna watu hawawezi kukaa wiki mbili bila kupata utamu eeeeh?
 
Nakubaliana na wewe Ivuga na naamini wengi wanaotetea kitendo hiki ni wanawake wenzake ambao wanaona sio kitu kufanyiwa mambo kama aliyofanyiwa Bhoke.

Ngoja niwatafutieni picha ambayo washiriki wenzao wamewaweka Kitimoto Bhoke na Ernest kuwahoji kwanini wamefanya mapenzi mahala pale na kamera kuwanasa. Hii ilikuwa jumamosi usiku saa saba hivi na Bhoke alikuwa amelewa Chakari.

Jumapili usiku baada ya kuwa tayari ana fahamu zake Bhoke alikataa kulala kitanda kimoja na Ernest na ndipo Ernest akamuuliza kwanini J'mosi alimpa na sasa anakataa kulala naye tu, Bhoke akajibu jumamosi alimpa sababu ya pombe hakuwa yeye.

Sasa tuendelee kuwatetea dada zetu kwa amani lakini hana tofauti na wale wa Buguruni usiku au Sinza pale Afrika sana.

Duh kaaazi kweli kweli!
 
Ila anaonekana alikua na kiu kali sana aisee...

hivi kuna watu hawawezi kukaa wiki mbili bila kupata utamu eeeeh?

Hakuna cha kiu ni kuendekeza ngono tu huko,kwenye camera zoote hizo na unajua unaonekana africa nzima bado unafanya hivyo! je huku mtaani si hatari hiyo??? Pepo la ngono hilo nakwambia...
 
Hii ni hatari aisee!!! Japo wanajidhalilisha lakini nadhani wanafanya hivyo ili kupata atention ya watazamaji!
 
Kwa kweli nashindwa kuwaelewa kabisa, kipi hapo ni cha ajabu???

Hiyo program ni kwa ajili ya watu wenye miaka 18 au zaidi. Ni program inayohusu maisha ya watu under controlled environment, kwa maana kwamba hawaruhusiwi kutoka. Ni program ambayo wamesaini mikataba kufata masharti humo ndani wakiwa wanaishi maisha yao.

Ni program ambayo inahusu udadisi wa tabia za watu. And any one watching is somehow agreeing to being a voyeur, cause h/she watching a private life of some individuals. Kila unapo tune kwenye channel ya BBA unakuwa umedhamiria kuchungulia watu... i.e. unakubaili kuitwa mpiga chabo!!

Je, hayo mambo hayafanyiki majumbani mwa watu? Je, hayo mambo hayanyiki kwenye majumba ya starehe?

Nikweli:
Wangelifanya hayo ndani ya Bunge la vijana, tungelilalamika.
Wangelifanya hayo ndani ya nyumba ya ibada, tungelilalamika.
Wangelifanya hayo mashuleni na vyuoni, tungelilalamika.

A western invention on western appliance in western format under African morals... which is which????
 
kwanza watanzania hao wanatia aibu kumng'ang'ania mwanume mmoja wakati bba imejaa madume, shame on them!!!

pili siku zote mimi sijui faida ya BBA kwa washiriki na Afrika kwa ujumla. ninachoona ni ngono na ulevi ndani ya jumba. nisaidieni nijue umhimu waq mashindano hayo
 
unavyosema hivyo unamaanisha nini?picha ya wanawake tz,plz tutake radhi wanawake wote tz including ur special mom,if u have nothng 2 say u beta kip quet.
ok, nakutaka radhi bibie
 
Kwa kweli nashindwa kuwaelewa kabisa, kipi hapo ni cha ajabu???

Hiyo program ni kwa ajili ya watu wenye miaka 18 au zaidi. Ni program inayohusu maisha ya watu under controlled environment, kwa maana kwamba hawaruhusiwi kutoka. Ni program ambayo wamesaini mikataba kufata masharti humo ndani wakiwa wanaishi maisha yao.

Ni program ambayo inahusu udadisi wa tabia za watu. And any one watching is somehow agreeing to being a voyeur, cause h/she watching a private life of some individuals. Kila unapo tune kwenye channel ya BBA unakuwa umedhamiria kuchungulia watu... i.e. unakubaili kuitwa mpiga chabo!!

Je, hayo mambo hayafanyiki majumbani mwa watu? Je, hayo mambo hayanyiki kwenye majumba ya starehe?

Nikweli:
Wangelifanya hayo ndani ya Bunge la vijana, tungelilalamika.
Wangelifanya hayo ndani ya nyumba ya ibada, tungelilalamika.
Wangelifanya hayo mashuleni na vyuoni, tungelilalamika.

A western invention on western appliance in western format under African morals... which is which????

conclution: Wote wanaoangalia BBA ni wapiga chabo
 
Hii ni hatari aisee!!! Japo wanajidhalilisha lakini nadhani wanafanya hivyo ili kupata atention ya watazamaji!

Hapo kila mtu anajiachia ili angalau apate hizo $200,000
 
. i.e. unakubaili kuitwa mpiga chabo!!

........

Dead
 
mi wameniudhi na hilo likijana nalo joka la kibisa...yaani ningekuwa mimi ningemsikisha ukingo wa jakuzi namshindilia kiungo cha uzazi kama sina akili nzuri....wanaleta utani kwenye preffesional za watu
 
Kwa hiyo uchangudoa kidogo ili uvute $$, na asipozipata ndio inakuwa yaleyale 'mtoto kukosa na maji umekandwa' ha ha ..

Hao wakitolewa mapema si wengine Bongo huku tutamalizia vibanda vyetu kwa kuwaandika magazetini
 
Uda'a kwa taarifa yako Lotus amepiga kura ili mtanzania mwenzake atoke kwasababu wanachangia mwanaume mmoja na huyo Bhoke ndie aliyeingilia penzi la Lotus na Ernest kwahiyo Lotus kapiga kura ya chuki kwa mtanzania mwenzake.

Angalia link hii chini uone Lotus anamhoji Ernest baada ya kuwa amefanya mapenzi na Bhoke sasa achague moja kama ni huyo Bhoke ama ni yeye Lotus. Wengine tunaendelea kuteta kwamba huo ni mchezo, haya waacha dada zetu wachezewe ndo mchezo.

Big Brother Africa 6 » Lotus: Me or Bhoke?

jamani mnaofuatilia embu tuambieni,ni kitu kilizamishwa kunako au ni kisss tu tunayoiona?
 
Back
Top Bottom