Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Unaweza kuongea chochote juu ya Bhoke lkn sio familia yake!
Ingawa ametutia aibu kubwa sio vizuri kuikashfu familia yake.

na hisi amesimamia wazazi wake kutokumpa malezi bora ya ukakamavu au uenda ajakeketwa kama wenzake pale tarime walivyo fanywa na mara nyingi wanakuwa awana hisia za kufanya mapenzi
 
Dah jwa mwendo huu nahisi wabongo na watu wa africa mashariki wamepoteza msisimko na hii BBA amplified...nitakuwa napita mara moja moja huku japo kuweka updates ila msisimko neihy!
 
Bora aibu imetuisha, kitendo cha kulewa jana na kumlambalamba mganda kilini bore sana, kwani akilewa lazima awe aaaah alizidi, mbona wenzie hawafanyi vile arudi tu.
 
we send ppl with no exposure....thts what we get...guess what, may be she has never had free beer, she couldnt control herself...no ofensive...women are emotional they cant fake in that retarded fake life game!
 
Bora katolewa janna kaliwa hadi ndogo kweli ametutia aibu kwa wale memba wa BBA VIP kuna clip inayoonysha alivyoliwa jana yaani ni noma huyo akifika tu apande kihiace cha kwenda kwao hope ataliwa tena leo maana katolewa na bashe wake!p'se BBA tupate clip ya atakavyoliwa leo hotelini
 
mbona mkaka mwenyewe kama hayupo pale kimawazo haka kakuria ndio kalikuwa minyege yake uchafu mtupu
 
Bora arudi bwana....kati ya miaka yote tuliyopeleka wadada mwaka huu tumepeleka malaya mabomu..yaani maharage ya mbeya....wenzake waliotangulia kina Elizabeth Gupta na Latoya....waliweza kuvuta vuta siku kwa sababubu hawakuwa na tabia za kimalaya malaya..

Kwa wale watetezi wa haki za wanawake ..huu ni udhibitisho kuwa mwanamke na mwanaume hawawezi kuwa sawa 50/50.........wakati kwa mwanaume ie Mwisho,Richard...etc..ubazazi wao uliwapa sifa kura nyingi..na mashabiki....,jamii hiyo hiyo haioni fahari kwa binti kuwa huru kimapenzi hadharani......miaka yote BBA akishinda mwanamke huwa yule ambaye tabia na mwenendo wake kimapenzi ilikuwa reserved na kuonyesha msimamo au uvumilivu...tofauti kabisa na preference za wavulana wanaoshinda....
 
mi wameniudhi na hilo likijana nalo joka la kibisa...yaani ningekuwa mimi ningemsikisha ukingo wa jakuzi namshindilia kiungo cha uzazi kama sina akili nzuri....wanaleta utani kwenye preffesional za watu


teh teh teh, kuna rafiki yangu alisema BBA amp. hawajapeleka mwanaume hata mmoja. Wapo wavaa suruali tu.
 
Dah jwa mwendo huu nahisi wabongo na watu wa africa mashariki wamepoteza msisimko na hii BBA amplified...nitakuwa napita mara moja moja huku japo kuweka updates ila msisimko neihy!
We didn't feature strong contestants so i expected wasingefika mbali but i always ask myself kwanini tukituma wanawake BBA they don't last for long
 
Welcome back Bhoke they were all haters and fake! U did ur best and there's still a great life ahead of U
Huyu si nilisema atapigwa chini mda si mrefu? Hivi wanaochagua washiriki hawajui saikolojia au?
 
Back
Top Bottom