Bi. Halima bint Hamisi

Bi. Halima bint Hamisi

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Ilikuwa kwa upande wa akina mama wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika nafasi ya kuongoza umma kwa akina mama chini ya TANU ishikwe na Bi. Halima Hamisi au Bi. Titi Mohamed.

Bi. Halima wakati ule miaka ya 1950 alikuwa msichana mdogo na mwalimu wa Qur'an akiendesha madrasa yake mwenyewe Mtaa wa Kariakoo.

Ni ipi historia yake?

Nini sababu ya historia ya uhuru kukosa shukurani kwa wazalendo kama hawa kuwa juu ya michango mikubwa waliyotoa leo hawafahamiki?
FB_IMG_1668622494425.jpg
 
Maswali:
1. Hivi huyu mama alikuwa na Watoto?
2. Wako wapi?
3. Je wanalamba asali au wanapambana na hali yao huku kwa mtogole kama sisi kina yakhe?
4. Huyu mama alikuwa mwenyeji wa wapi? I mean kabila lake (no offence)
 
Back
Top Bottom