Hayo yanatokea, Mke wangu siku moja kabla ya ndoa alikuwa mkali kwangu kupindikua, alivyotulizwa nami pia kuanza kumfokea akanyamaza, kumbe alikuwa anapanga kutoroka Usiku. Alimshirikisha mpambe wake mmoja ambaye hakukubaliana naye hivyo kiripoti kwa Mchungaji wake, naye alimtaka kuonana naye Usiku ule na kufanya naye maombi. Asubuhi akarudisha Upendo akapekekwa saluni Jioni Ndoa. Amekuja kunihadithia baada ya siku tatu, mpaka Leo hajui kilichokuwa kinampelekesha! Wote tunahisi x-relation either parts zili influence remotely! Maombi jamani, wengime wameolewa na majini hivyo yana wivu!