Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Bi hindu na mwenzake Bi chau hawa ni wazee wenye miili mizuri wanazeeka na utamu wao.
Wana mapendo kwakweli mioyo yao ina amani
Kuna mwingine full visirani sasa hivi hata hajazidi 45 ameshaota makunyanzi FaizaFoxy
Nimezoea tu kusikia hivyo watu huwa wanasema hivyo kurefer mtu asiyezeeka harakaUmesema;
"Sio anachokula,ila ameumbwa tu na udongo mzuri"
Nimetaka kujua hapo uliposema "Udongo mzuri" ulimaanisha nini?
Mwambie bibi yako astaafu bwana
Umesema;
"Sio anachokula,ila ameumbwa tu na udongo mzuri"
Nimetaka kujua hapo uliposema "Udongo mzuri" ulimaanisha nini?
Oh boy! Standard Sevel leaver in 1998?Nimemsikia sehemu leo akitaja mwaka.alio zaliwa. Anasema amezaliwa tarehe 27 mwezi wa 10 mwaka 1939.
Mzee Mkapa anamzidi Bi Hindu mwaka.mmoja tu!!!!
She is eleven years older then my father and 16 yrs older then.my mother.
I used to think she was just born in the 1950s.
Yani tarehe 27 October mwaka huu panapo majaaliwa yake Allah Bi Hindu anafikisha miaka themanini!!!
Masha'Allah . She looks 20 years younger than her age.
Huyu bibi ni Chuma kama lilivyo jina lake.
Bi Hindu wafundishe dada zetu vyakula ulivyo kua unakula.
Kuna mdada nilimaliza nae darasa la saba mwaka 1998 sasa hivi anaonekana.kama mmama.wa miaka 48.
Kwani asili yetu kwa mujibu wa vitabu vya dini,si tulitokana na Adam na Hawa? Origin yetu ni kwa watu walewale tu,huo utofauti wa udongo unatoka wapi tena mkuu?Wanadamu wote asili yao ni udongo kwa mujibu wa hekaya za dini...
Na udongo watofautiana upo wenye rutuba na usio na rutuba, kwa lugha nyingine upo mzuri na usio mzuri...
Kwani asili yetu kwa mujibu wa vitabu vya dini,si tulitokana na Adam na Hawa? Origin yetu ni kwa watu walewale tu,huo utofauti wa udongo unatoka wapi tena mkuu?
Amezaliwa mwaka huo. Mwinyi naye nilimuona kwenye tv wiki iliyopita hafananii km ana miaka 90+Sidhani kama Mkapa amezaliwa 1938 maana hajafikisha miaka 80 bado
Amezaliwa mwaka huo. Mwinyi naye nilimuona kwenye tv wiki iliyopita hafananii km ana miaka 90+
ππππ wengi tuliwaza hivyo. Kumbe tukiliwa wrong sanaNikiwa mdogo nilikuwa najua Bi chau ni mke wa Marehemu mzee small,walikuwa wanapatana sana katika kazi zao.
Jana sana. Muda huo watu tuko kitaa tunafsnya hustleYeah zamani sana nini?
ππππ wengi tuliwaza hivyo. Kumbe tukiliwa wrong sanaNikiwa mdogo nilikuwa najua Bi chau ni mke wa Marehemu mzee small,walikuwa wanapatana sana katika kazi zao.
ππππ wengi tuliwaza hivyo. Kumbe tukiliwa wrong sanaNikiwa mdogo nilikuwa najua Bi chau ni mke wa Marehemu mzee small,walikuwa wanapatana sana katika kazi zao.
Anzisha Uzi wako uandike huo ujinga ukoNikiwa mdogo nilikuwa najua Bi chau ni mke wa Marehemu mzee small,walikuwa wanapatana sana katika kazi zao.
Sawa.Anzisha Uzi wako uandike huo ujinga uko