Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mdomo wake kabla ya kuongea huwa unacheza cheza kama samaki alietolewa kwenye maji
Hata mimi nilijua ni mtu na mkeweNikiwa mdogo nilikuwa najua Bi chau ni mke wa Marehemu mzee small,walikuwa wanapatana sana katika kazi zao.
Huyo ni mlaaniwa mfia diniBi hindu na mwenzake Bi chau hawa ni wazee wenye miili mizuri wanazeeka na utamu wao.
Wana mapendo kwakweli mioyo yao ina amani
Kuna mwingine full visirani sasa hivi hata hajazidi 45 ameshaota makunyanzi FaizaFoxy
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee lol et nn? Wallah una dhambi weeTena mdomo wake kabla ya kuongea huwa unacheza cheza kama samaki alietolewa kwenye maji
Sent using Jamii Forums mobile app