bi kidude mzigoni

cheusimangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,585
Reaction score
498


bi kidude bwana ana mbwebwe eti hata mkongojo ni yellow n green!
cjui na yeye kapewa mshiko!
 
Duu CCM noma wamemvalisha huyu kikongwe kila kitu kijani label, nadhani hadi under*** ni kujani.

Cheusimangala, embu ipeleke kule kwenye jukwaa la Siasa nadhani itachambuliwa vizuri hii image.

Kwa sasa huyo anastahili apumzike.... huyo kapelekwa tuuu hata haelewi kitu chochote hapo !!!
 
Namuonea huruma zaidi kuliko kumshabikia! Na raba njano na kijani, kipima joto chake nacho, duuh CCM hii, kweli itaua wazee wa watu!
 
Lazima atakuwa amepewa mshiko huyu bibi ni mjanja wa mjini
 
oooh jamani kizee cha watu huku kinafata nini? anatafuta mhogo wa jang'ombe au? nadhani anatakiwa apumzike au atumbuize kwenye sehemu zisizo na kashikashi za namna hii,
 
Hi kampeni ya kitumia wasanii kiboko......
 
Du! Jamani bi kidude siku hizi amekuwa beautiful hivi??? pesa za mafisadi si mchezo. Wanampigisha kwata bibi kizee na baada ya uchaguzi hawana taimu naye tena.
 
oooh jamani kizee cha watu huku kinafata nini? anatafuta mhogo wa jang'ombe au? nadhani anatakiwa apumzike au atumbuize kwenye sehemu zisizo na kashikashi za namna hii,

Beauty huyu hauwezi muhogo wa Jang'ombe bana, atajifia bure!
 
ha haaaaaaaaaa; Cheusi, kapewa na bodyguard nini? hiyo njemba hapo pembeni kama inamlinda vile!!!!!!!!!!!!!!!!
Ila mpaka hizi kampeni ziishe tutakuwa tumejionea ya kuzidi
 
Bana Cheusimangala Bi kidude havaagi viatu:becky::becky:
 
Hawa ccm hawana heshima, sasa huyu ajuza wa watu wanamtesea nini? Hizo buku zao mbili mbili wanazowapa waje mkutanoni?
 
Raba = ccm
Gauni = ccm
Kofia = ccm
Fimbo = ccm
Bangili = ccm
Mfuko = ccm
Bendera = ccm

Hizi zote zimetengenezewa nchini Canada, kwa gharama za ikulu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…