Kenya 2022 Bi. Martha Karua na siri ya Ushindi wa Urais wa Mzee Raila (Baba)

Kenya 2022 Bi. Martha Karua na siri ya Ushindi wa Urais wa Mzee Raila (Baba)

Kenya 2022 General Election

Singo Batan

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2020
Posts
295
Reaction score
198
Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Idadi kubwa ya Wapiga kura wa Kenya, wana imani zaidi na kambi ya Mzee Raila sio kwasababu ya ubora wa sera zake, bali watu wanaomzunguka ambao ni wanasiasa wenye nguvu na ushawishi mkubwa.
Mmoja wa wana siasa hao ni Bi. Martha Karua, Mgombea mwenza katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Kenya.
Kwa Maoni ya wakenya wengi wanaamini Bi. Martha anaweza kuwa Rais wa Nchi hata kama Raila hayupo. Na wanakiri kwamba kifo cha Dr. John Magufuli kwao kilikuwa ni fundisho muhimu katika kufanya maamuzi ya nani awe Rais.
Bi Martha anaondoka na kijiji cha wapiga kura na kumfanya Raila afanye kampeni za kurelax sana.
Pamoja na Bi. Martha yupo fundi mwingine wa kupanga maneno anaitwa Bw. Peter Kenneth, kampeni meneja wa team Raila. Ambaye anapiga backup kubwa sana kwa wagombea wake.
Upande wa Bw. Ruto anapambana sana na Raila, na amemsahau injinia atakayejaza masanduku ya kura ambaye ni Bi. Martha.
 
Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Idadi kubwa ya Wapiga kura wa Kenya, wana imani zaidi na kambi ya Mzee Raila sio kwasababu ya ubora wa sera zake, bali watu wanaomzunguka ambao ni wanasiasa wenye nguvu na ushawishi mkubwa.
Mmoja wa wana siasa hao ni Bi. Martha Karua, Mgombea mwenza katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Kenya.
Kwa Maoni ya wakenya wengi wanaamini Bi. Martha anaweza kuwa Rais wa Nchi hata kama Raila hayupo. Na wanakiri kwamba kifo cha Dr. John Magufuli kwao kilikuwa ni fundisho muhimu katika kufanya maamuzi ya nani awe Rais.
Bi Martha anaondoka na kijiji cha wapiga kura na kumfanya Raila afanye kampeni za kurelax sana.
Pamoja na Bi. Martha yupo fundi mwingine wa kupanga maneno anaitwa Bw. Peter Kenneth, kampeni meneja wa team Raila. Ambaye anapiga backup kubwa sana kwa wagombea wake.
Upande wa Bw. Ruto anapambana sana na Raila, na amemsahau injinia atakayejaza masanduku ya kura ambaye ni Bi. Martha.
Kuna team kubwa nyuma ya raila,yuko charity ngilu,eugene wamalwa,babu owino,kalonzo musyoka na wengineo
 
Odinga + Uhuru ni kama CCM na CHADEMA viungane sidhani kama Kuna upenyo kwa Ruto.

Deep state Iko upande wa Raila so hta akishindwa wataiba kura tu. Kwa Afrika yetu mwenye Jeshi ndio hutangazwa Rais.
Mimi kama Nabii niliona Wiki Tatu zilizipita Raila odinga akiapishwa kuwa Rais wa Kenya baada ya Uhuru Kenyata kumaliza muda wake , Hongera saana mzee Raila Odinga ............Tenda haki katika utawala wako......
 
Odinga akishinda U-Rais nipewe life ban hapa Jf
Nakala kwa Max Jf Founder.
 
wewe ni kama mimi yani wengi wa wanaoandika humu ni wale wanaoonekana hata kenya hawajaenda kipindi hiki cha kampen kuona reality na kama hawajui nimewambia wasubir 9/8/2022 ndo wataelewa vizur.
They know nothing
 
Odinga akishinda U-Rais nipewe life ban hapa Jf
Nakala kwa Max Jf Founder.
Kauli ya Nabii ni sheria ya Mungu , Raila ataapishwa kuwa rais wa Kenya baada ya Uhuru Kenyatta kumaliza muda wake.........Mimi naona kwa macho ya mbinguni wewe unaangalia kampeni kwa macho ya kawaida ,,,,huwezi kupata jibu sahihi , mark my words bro......
 
Nimesoma,nimeishi na kufanya kazi Kenya siku za nyuma,hata mimi nilikuwa nasoma kwenye Vyombo vya Habari kwamba Ruto anaenda kuwa Rais,wiki iliyopita nikaona niwaulize wadau wangu niliosoma nao ambao wapo kwenye nafasi kubwa na nzito katika Serikali na Taasisi mbalimbali nchini Kenya. Walichonijibu ni tofauti kabisa na mtazamo wangu.Wote walinihakikishia Raila atashinda bila shida Uchaguzi huo. Na pili waliniambia Uhuru ni mtoto wa Mjini sana,hawezi kukubali kumuachia Ruto Ikulu anajua fika atakuja kumshtaki.Ndio maana hata juzi Uhuru kamteua aliyekuwa ADC wake kuwa Mkuu wa Majeshi ya Nchi kavu!!!jiulize kwa nini sasa hivi akiwa amebakiza siku 9 tu Ikulu??Kwa hiyo hali ipo hivyo,iwe jua iwe mvua Ruto lazima apigwe na kitu kizito Uhuru mafia sana wanasema.Kwa anayekumbuka Uchaguzi uliopita kilichompata Albert Msando aliyekuwa Mkuu wa IT wa Tume ya Uchaguzi aliyejidai eti atakuwa anajumuisha matokeo kwenye System za Tume kama yalivyo bila kuchakachua,alichinjwa kama Kuku siku 3 kabla ya Uchaguzi.Hivyo Uhuru mtoto wa Mjini hawezi kukubali Ruto aingie ili aje kumfunga Jela,oohh
 
Odinga + Uhuru ni kama CCM na CHADEMA viungane sidhani kama Kuna upenyo kwa Ruto.

Deep state Iko upande wa Raila so hta akishindwa wataiba kura tu. Kwa Afrika yetu mwenye Jeshi ndio hutangazwa Rais.
Kenya kwenye issue ya uchaguzi huwa n matokeo mawili.
1. Anayeshinda.
2. Anayetangazwa na tume.
Kwa hali ilivyo Sasa Ruto ana nyomi ya hatari na kwenye kura za makaratasi lazima atamshinda Raila Tena kwa mamilioni ya kura. Mark my words.
Lakini Bw. Odinga atatangazwa na tume. Uhuru anajua kabisa anahitaji mtu wa kulinda Mali zake na za wezi wengine from mount Kenya region therefore hawezi kukubali hasimu wake wa Sasa achukue.
Niko Kenya muda huu,upepo wa Ruto ni WA kisulisuli.....
Za ndaaani kabisa jeshi limeanza kugawiwa uniform za kipolisi ili kwa yeyote atakaye leta upuuzi awe mfano kwa wenzake"mbinun ya shoot to kill" itatumika Sana.
Raila atatangazwa.
Raila ni raisi ajaye.
NB:Rais Samia aanze kabisa kupanga nguo kwenye mabegi kwa ajili ya kuhudhuria kuapishwa kwake....maana kwa wajaluo watakavyofurahi zoezi la kuapishwa sio la siku moja ni la wiki moja then wiki ya pili ni burudani na mziki na hotuba za Marais wengine.
Kazi iendelee.
 
Kwa Kenya ngoma bado. Nzito, lolote laweza tokea...
Vyovyote raisi ni Raila,Ruto hauziki si Kenya wala kimataifa.Na wakuu wa duniani washampitisha Raila baada ya kukubali masharti yao.
Action yeyeto atakayopinga Ruto the hague ina muhusu.
 
Kenya kwenye issue ya uchaguzi huwa n matokeo mawili.
1. Anayeshinda.
2. Anayetangazwa na tume.
Kwa hali ilivyo Sasa Ruto ana nyomi ya hatari na kwenye kura za makaratasi lazima atamshinda Raila Tena kwa mamilioni ya kura. Mark my words.
Lakini Bw. Odinga atatangazwa na tume. Uhuru anajua kabisa anahitaji mtu wa kulinda Mali zake na za wezi wengine from mount Kenya region therefore hawezi kukubali hasimu wake wa Sasa achukue.
Niko Kenya muda huu,upepo wa Ruto ni WA kisulisuli.....
Za ndaaani kabisa jeshi limeanza kugawiwa uniform za kipolisi ili kwa yeyote atakaye leta upuuzi awe mfano kwa wenzake"mbinun ya shoot to kill" itatumika Sana.
Raila atatangazwa.
Raila ni raisi ajaye.
NB:Rais Samia aanze kabisa kupanga nguo kwenye mabegi kwa ajili ya kuhudhuria kuapishwa kwake....maana kwa wajaluo watakavyofurahi zoezi la kuapishwa sio la siku moja ni la wiki moja then wiki ya pili ni burudani na mziki na hotuba za Marais wengine.
Kazi iendelee.
Pili wakenya wamesema wanataka wanadili kabila ingine na sio KILA siku ni kikuyu tu.
Tatu Wakuu wa Dunia plus Vatican washapanga Raila ndie next president,hii ni true hata UHURU anajua thus kaamua kumsapoti Odinga so wakenya watapiga kura wasipige kura but Raila atakuwa president by any fault, wanasema ni heri ya Raila na sio Ruto, Ruto ni dictator, uncivilized, hana exposure, sio matured thus hana utulivu wala nidhamu amejaa kiburi cha ushamba,ulimbukeni na ujinga wa madaraka,ni mtu wa visasi.
 
Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Idadi kubwa ya Wapiga kura wa Kenya, wana imani zaidi na kambi ya Mzee Raila sio kwasababu ya ubora wa sera zake, bali watu wanaomzunguka ambao ni wanasiasa wenye nguvu na ushawishi mkubwa.
Mmoja wa wana siasa hao ni Bi. Martha Karua, Mgombea mwenza katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Kenya.
Kwa Maoni ya wakenya wengi wanaamini Bi. Martha anaweza kuwa Rais wa Nchi hata kama Raila hayupo. Na wanakiri kwamba kifo cha Dr. John Magufuli kwao kilikuwa ni fundisho muhimu katika kufanya maamuzi ya nani awe Rais.
Bi Martha anaondoka na kijiji cha wapiga kura na kumfanya Raila afanye kampeni za kurelax sana.
Pamoja na Bi. Martha yupo fundi mwingine wa kupanga maneno anaitwa Bw. Peter Kenneth, kampeni meneja wa team Raila. Ambaye anapiga backup kubwa sana kwa wagombea wake.
Upande wa Bw. Ruto anapambana sana na Raila, na amemsahau injinia atakayejaza masanduku ya kura ambaye ni Bi. Martha.
Kwa msingi wa andiko lako unamaanisha Raila hawezi ingia kipindi ya pili atamfuata mwendazake si ni Ndio!!
Endelea kuota ukiamka utakuta umelala mchangani.!![emoji89]
 
Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Idadi kubwa ya Wapiga kura wa Kenya, wana imani zaidi na kambi ya Mzee Raila sio kwasababu ya ubora wa sera zake, bali watu wanaomzunguka ambao ni wanasiasa wenye nguvu na ushawishi mkubwa.
Mmoja wa wana siasa hao ni Bi. Martha Karua, Mgombea mwenza katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Kenya.
Kwa Maoni ya wakenya wengi wanaamini Bi. Martha anaweza kuwa Rais wa Nchi hata kama Raila hayupo. Na wanakiri kwamba kifo cha Dr. John Magufuli kwao kilikuwa ni fundisho muhimu katika kufanya maamuzi ya nani awe Rais.
Bi Martha anaondoka na kijiji cha wapiga kura na kumfanya Raila afanye kampeni za kurelax sana.
Pamoja na Bi. Martha yupo fundi mwingine wa kupanga maneno anaitwa Bw. Peter Kenneth, kampeni meneja wa team Raila. Ambaye anapiga backup kubwa sana kwa wagombea wake.
Upande wa Bw. Ruto anapambana sana na Raila, na amemsahau injinia atakayejaza masanduku ya kura ambaye ni Bi. Martha.
Siasa ya Kenya ipo deep sana sio kama ulivyoandika kirahisi hapo juu. Behind the scene kuna Mount Kenya Mafia Cartel pia kuna Deep State ambao wao ndio huamua nani awe raisi Kenya. This time around wanamsapoti Raila. For sure he is going to be president of Kenya
 
Kwa msingi wa andiko lako unamaanisha Raila hawezi ingia kipindi ya pili atamfuata mwendazake si ni Ndio!!
Endelea kuota ukiamka utakuta umelala mchangani.!![emoji89]
Sina maana hiyo uliyoitafsiri hapa.
Kujifunza mengi kutoka kwa transition ya madaraka JPM to SSH haina maana ya kifo cha JPM pekee.
Martha anaweza kuja kuwa mrithi wa Raila
 
Siasa ya Kenya ipo deep sana sio kama ulivyoandika kirahisi hapo juu. Behind the scene kuna Mount Kenya Mafia Cartel pia kuna Deep State ambao wao ndio huamua nani awe raisi Kenya. This time around wanamsapoti Raila. For sure he is going to be president of Kenya
Kumbe tunakubaliana kwamba iko nguvu kubwa inayohanikiza ushindi wa Raila
 
Back
Top Bottom