Sidhani kama uko sahihi mimi sio matajiri lakini kabila kubwa kama wakikuyu.kuchagua mjaluo sio rahisi hata Raila angwekwa mgombea pekee wakikuyu wasingempa kuraMimi kama Nabii niliona Wiki Tatu zilizipita Raila odinga akiapishwa kuwa Rais wa Kenya baada ya Uhuru Kenyata kumaliza muda wake , Hongera saana mzee Raila Odinga ............Tenda haki katika utawala wako......
Alipomuangusha Kibaki 2007 alikua na kura za Wakikuyu?? hata 2013 Uhuru alishinda kwa 50% tena aliifikia kwa gape la kura elfu 80 tu!! Sasa hao 50% waliobaki walikua wote Wakikuyu??mnaandika huku hamjui chochote na kwa taarifa huyo Raila hawez kumshinda Ruto maana wakikuyu wa mount kenya wengi wako kwa ruto na hao ndo huwa wanaamua nan awe Rais wa kenya subirin 9/8 ndo mtaelewa vizuri
Jeshi lipi lilishindwa wakati kura ziliibwa wazi? Hata 2017 kura ziliibwa kupitia mfumo wa kielektroniki ndio maana server hazikufunguliwa mpaka Leo!!mnajidanganya kama jeshi lilishindwa kufanya kaz 2007 huko kenya unafikir litaweza saiv kule heshima kwenye kura ni kubwa sio kama tanzania upumbavu mtupu
Siasa ya kenya si rahisi kama mnavyoliongeleaNimeipenda pale uliposema wakenya wamejifunza Kwa kifo Cha Magufuli
Ruto yuko busy kupambana na Uhuru badala ya Ruto!Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Idadi kubwa ya Wapiga kura wa Kenya, wana imani zaidi na kambi ya Mzee Raila sio kwasababu ya ubora wa sera zake, bali watu wanaomzunguka ambao ni wanasiasa wenye nguvu na ushawishi mkubwa.
Mmoja wa wana siasa hao ni Bi. Martha Karua, Mgombea mwenza katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Kenya.
Kwa Maoni ya wakenya wengi wanaamini Bi. Martha anaweza kuwa Rais wa Nchi hata kama Raila hayupo. Na wanakiri kwamba kifo cha Dr. John Magufuli kwao kilikuwa ni fundisho muhimu katika kufanya maamuzi ya nani awe Rais.
Bi Martha anaondoka na kijiji cha wapiga kura na kumfanya Raila afanye kampeni za kurelax sana.
Pamoja na Bi. Martha yupo fundi mwingine wa kupanga maneno anaitwa Bw. Peter Kenneth, kampeni meneja wa team Raila. Ambaye anapiga backup kubwa sana kwa wagombea wake.
Upande wa Bw. Ruto anapambana sana na Raila, na amemsahau injinia atakayejaza masanduku ya kura ambaye ni Bi. Martha.
Nabii uchwara km Ww Wa NnKauli ya Nabii ni sheria ya Mungu , Raila ataapishwa kuwa rais wa Kenya baada ya Uhuru Kenyatta kumaliza muda wake.........Mimi naona kwa macho ya mbinguni wewe unaangalia kampeni kwa macho ya kawaida ,,,,huwezi kupata jibu sahihi , mark my words bro......
Nchi ya Kenya inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais wa awamu ya 5 mapema mwezi Agosti 2022. Duru za uchaguzi zinaonesha kumpa nafasi zaidi Bwana Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Idadi kubwa ya Wapiga kura wa Kenya, wana imani zaidi na kambi ya Mzee Raila sio kwasababu ya ubora wa sera zake, bali watu wanaomzunguka ambao ni wanasiasa wenye nguvu na ushawishi mkubwa.
Mmoja wa wana siasa hao ni Bi. Martha Karua, Mgombea mwenza katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Kenya.
Kwa Maoni ya wakenya wengi wanaamini Bi. Martha anaweza kuwa Rais wa Nchi hata kama Raila hayupo. Na wanakiri kwamba kifo cha Dr. John Magufuli kwao kilikuwa ni fundisho muhimu katika kufanya maamuzi ya nani awe Rais.
Bi Martha anaondoka na kijiji cha wapiga kura na kumfanya Raila afanye kampeni za kurelax sana.
Pamoja na Bi. Martha yupo fundi mwingine wa kupanga maneno anaitwa Bw. Peter Kenneth, kampeni meneja wa team Raila. Ambaye anapiga backup kubwa sana kwa wagombea wake.
Upande wa Bw. Ruto anapambana sana na Raila, na amemsahau injinia atakayejaza masanduku ya kura ambaye ni Bi. Martha.
Watabiri waliona Martha ndiye rais...atatolewa na ruto baada ya mchuano wa ruto na kalonzoBi. Martha Karua Naibu Rais, na Raila Rais wa Kenya baada ya uchaguzi.
Katiba ya Kenya inasemaje iwapo Rais akifa Akiwa madarakani?
+254 angalieni yasiwakute yaliyowakuta Watanzania baada ya kifo cha mpendwa wao JPM.
Kwahiyo mzee atafariki madarakani kwenye term ya kwanza mwishoni au ya pili mwanzoniWatabiri waliona Martha ndiye rais...atatolewa na ruto baada ya mchuano wa ruto na kalonzo
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1139]Kenya mwaka huu wana kazi. Wakichagua timu ya Riala huyu mama ni kichomi wakichagua upande wa hustle ruto ni kisirani.
Raila[emoji2][emoji2]Ruto yuko busy kupambana na Uhuru badala ya Ruto!