Bi Sandra afunguka kuhusu mumewe Shamte kuzaa nje ya ndoa

Bi Sandra afunguka kuhusu mumewe Shamte kuzaa nje ya ndoa

Bora lkn awe Ganda la ndizi
Huyu jamaa ashanasaga kule kwa ayatollah
Alikuwaga msafiri zamani
Ni rafiki sana wa mchz wngu mmja wote wazee wa kitonga
Kuna siku tulikuwa sehemu mitaa ya American chips jamaa alipita na alphard wakati tunasalimiana na jamaa
Mai akatutambulisha akasema hyu ndy shemeji yenu "nkamslimia bim dashi shikamooo nkaonaaaa kimyaaa hajibuu "[emoji23]
Ila jamaa kauzu

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]nan bi sandra au
 
Na hili ni tatizo kwa 80% ya wanawake
Wanakazania kuwekeza kwenye nywele na kucha tu
Hv huwa inasababishwa na nn hiyo?
Kwamba unakuta mwanamke hana radha??? Seems like unapoingia unakuwa km uko hewano tu ama? Yaan hakuna unachofeel kbs?
 
Tambaza ni ukoo ndugu...tafuta majina ya wazee waliokua bega kwa bega na mwalim kutafuta uhuru...utakutana na hilo jina
Ni kweli kabisa. Pale ulipo msikiti wa Tambaza nyuma kuna nyumba ya Mzee Tambaza. Haijawahi kuvunjwa wala kuuzwa. Ni kumbukumbu ya familia.
 
Back
Top Bottom